Search results

  1. M

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Pia kwa mliovuna, mavuno yakoje kwa ujumla, ni gunia ngapi za kg 100 kwa eka?
  2. M

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Habari za leo mkuu. Lindi kuna changamoto zipi za uuzaji?
  3. M

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Habari za asubuhi wakuu. Asanteni kwa mawazo mazuri ninayosoma humu. Swali langu ni kuwa ukishapanda vikaota, kuna kazi ya kupunguza vilipoota vingi na kupandikiza sehemu ambayo havijaota ili viendane na spacing inayotakiwa. Hii kazi inabidi ifanywe ufuta ukifika umri gani, siku ngapi, au...
  4. M

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Habari za leo wadau? Mimi kuhusu ufugaji samaki nimehamasika ila napenda niwafahamu ma kuwatembelea wafugaji samaki waliofanikiwa. Hapa nina maanisha walioweza kuuza samaki wakiwa na miezi sita kwa uzito mzuri. Hii imetokana na kwamba ktk hii biashara tunaenda kinadharia mno. Uzalishaji...
  5. M

    JF Business Club: Imeanzishwa rasmi leo na members wenye commitment ya kipekee kabisa

    Malamsha, Inawezekana kujiunga, katiba ikiwa tayari itaeleza kwa uwazi. Ikiwa tayari nitakuPM, nikuambievprocedures.
  6. M

    Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

    Tupo pamoja wakuu, nami naainisha mission , vision na objectives halafu nitazitupia humu
  7. M

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Mkuu Poking hongera kwa kupanda? Umetumia spacing gani kati ya mstari na mstari na kati ya shimo na shimo (kwa Lindi 2002)?
  8. M

    Natafuta business mentor or coach wa kunishauri toka mwanzo hadi mradi wangu unasimama

    Ni kweli kabisa mdau uliyechangia. Usiutegemee sn ushauri wa competitor, maana hawezi kukupa siri zote za mafanikio, atakuwa anogopa kuzidiwa. Na wamiliki wengi wako busy, hawana muda wa kushauri beginners. Au uwe na washauri zaidi ya mmoja.
  9. M

    Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

    Uwiii mambo ya touch haya!!!!! Sentensi ya nne kutoka mwisho ni ... jinsi ya kufuga kuku wa nyama...
  10. M

    Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

    Habari za leo wakuu. Nashukuru mungu maana naona mambo yanaelekea kuwa mazuri kuhusu mkutano wetu. Kuna mdau ameongelea habari za kutengeneza objectives, mission and vission. Ni wazi zuri sana lkn ninavyolijua hilo zaidi linaweza kuuchukua siku nzima, hasa vision na mission. Mimi nashauri ...
  11. M

    Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

    Habari za leo wadau? Naunga mkono hoja ya kuwa venue iwe Dar. Ikiwa Dar ninaweza kushawishi watu wawili waashiriki. Ktk mada niliona km ipo ya forest farming, tunaweza kumuomba Malila afacilitate. Na kufacilitate ni km kuongoza, haina maana unatakiwa ujue kila kitu. Vingine washiriki wenye...
  12. M

    Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

    ha ha ha Mama joe. Ladies tupo, nami nihesabu
  13. M

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Mkuu nalima Bwawani, kijiji cha GWATA
  14. M

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Dada wa SUBA AGRO hakuwa tayari kunipa contact za mkulima, kasema niweke order na pesa niache kwake. Sijampa pesa bado. Maduka ya mbegu za ufuta yako Moro sehemu gani? Naweza kuja muda wowote. Wewe upo Moro? NimekuPM. Thanks
  15. M

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Asante Gwijimimi Nimefika suba agro wameniambia zimeisha ila kuna mkulima wao wa Karatu alinunua kwao, anauza shs 9000/kg wakati wao wanauza 6500/kg. Nafikiria kuangalia Moro.
  16. M

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Nashukuru Mkuu, niko Dar, kesho nitaenda kulitafuta hilo duka Kidongo chekundu. Hilo la Kkoo (SUBA AGRO) liko K'koo ipi? Sokoni au? Mnivumilie wadau, ndiyo naanza, na nimehamasika humu humu.
  17. M

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Ktk soma yangu ya hii thread nimeona Naliendele 92 na lindi 2002 ndiyo zinafaa . Nataka itakayotumia muda mfupi kukomaa na inayohimili magonjwa. Nategemea kupanda maeneo ya Bwawani, Moro. Au unashaurije mkuu
  18. M

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Wakuu nitapata wapi mbegu za ufuta? nategemea kupanda mwanzoni mwa mwezi wa pili. Natanguliza shukrani
  19. M

    Chasha Message: All the Best kwa Ujasirimali Members

    Wadau nami ni mfugaji wa broilers. Nimelipenda sn hili wazo ambalo ndiyo naliona. Nilitingwa nikawa sijaingia kwa muda humu. Mawazo yang ni kuwa agenda zilizotolewa ni pana mno kwa mkutano wa siku moja. Kwa nini tusiwe more effective kwa kuconcentrate na swala mmoja Kwanza. Mfano tuanze na...
Back
Top Bottom