Mambo mengine ni ya aibu hata kuyaona. Ulitaka Daimond aseme kitu gani ? wakati wewe Lema unafanya Mambo ya uporaji na wizi wa magari mwanamuziki gani alipaza sauti ? Uliondoka ulisema umeibiwa kura , Sasa so urudi ufungue kesi ? Unafikiri watanzania wote ni vilaza ? 2020 mi nilikuwa wakala wako...
Wao waseme wanachotaka ni kuendelea kutubia na hilo halitakuwepo tu. wao waendelee kumfadhiri ila mwisho wa siku kurudia tena enzi zile za Mangungo wa Msovero hatuko tayari na hawatapata wanchotaka kutubia
Ni kweli unachosema na ni ngumu kuelewa ila chadema ambao wapo tangu 1995 na wana washabiki wengi arusha 5 kilimanjaro , mbeya etc hawana hata ofisini moja tu permanent ( I mean ya kwao) kila siku wanahama hama kama ndege ndo wanaweza kweli wapa wananchi maji Tanzania yote? Kumbuka ruzuku...
Kama hata kutibu corona mnaomba msaada ndo mtaweza jilipia uchaguzi. Nyie bado omba omba tu na vibaraka wazungu.
Naona sasa wanaanza kuwatumia kutuhujumu hamtaweza
Yeye alisema acacia walikuwa sahihi kufanya wanachokifanya na tulikuwa tunatafuta matatizo kuwazuia kusafirisha makinikia. sasa ikawaje acacia wakakubali kutoa hizo usd 300m?
Alituaminisha tutashitakiwa na Acacia. Hebu atuambie kuhusu hilo kwanza. After all nchi gani haishitakiwi? mbona kushitakiwa ni jambo la kawaida. mwenyewe Lisu anashtakiwa kwa hiyo kushitakiwa ai dhambi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.