Na rais bora anatakiwa awainue wanyonge. Yani idadi ya wanyonge iwe inapungua siyo kuzidi au kubaki pale pale. Mfano yule jamaa miaka 6 ilitakiwa kusiwe tena na wanyonge
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mafuru alisema ana uzoefu na sekta ya kibenki kwa miaka 20 na hakuna tatizo lolote kwa serikali kuweka fedha kwenye fixed deposit...ndio mjomba ake Dotto akakosa simile.
GOTCHA
Wote walikuwa washamba, japo AMIN alikuwa mshamba katika zama sahihi. Sasa hayati kukumbatia fikra za miaka ya 70.....mmmhhh tuishie tu hapa hapa
Shujaa wa ANALOJIA katika kipindi cha DIJITALI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.