Kiuhalisia nimetenda mambo ya kuidanganya nafsi kwa kumfikiria mambo vibaya huyu ndugu mfano nilijua ni kilaza.
Kumbe nikajidanganya kumbe kuna watu wamechaguliwa na MUNGU ukimsema vibaya yeye hapati madhara wananzengo tuwe makini na watu kama hawa AM SORRY MAYALA
Kwa kutopeteza wakati nina mke ila kuna makando makando anayaongea .1.tuna mtoto mmoja ila lawama ni kuwa yeye alikuwa hayuko tayari kuwa na mtoto ivyo nimemuharibia maisha yake .2. Mara anasema tafuta mwanamke mwingine yeye hatak kusex sana kwa mwezi anasema ni mara nne au asifanye hajisikii...
Bbc swahili kwa bandiko lenu (waongo siwa kweli)
nimesikitishwa na maelezo yenu juu ya illuminat jinsi gani uandishi wenu si wa kiutafiti .(kanjanja)
Kusema kundi la illuminat Lipo au kuliongelea ni propaganda ya watu wenye msongo wa mawazo si kweli .
kwamba eti sababu nyingine ni umaskini ndio...
Ndugu mheshimiwa kama bandiko linavojieleza ni kuwa watumishi hawana wa kuwasemea wanafanya kazi masaa mengi wakati shughuli nyingine za maendeleo zinalala
Lengo la bandiko hili ni kuleta hoja ambayo ni ya msingi sana hasa utawala wako huu watakaopenda kustaafu na walipwe chao ili uajiri...
Kiukweli mimi binafsi sina imani na utawala huu hasa kauli zao zilivo ni kama hawaishi nchini hapa yaaan ni kama wamevaa miwani ya mbao hawaoni ? .Yaan jameni tuungane wale buku 7 hawana hoja yaan wao wapo kupaka rangi tu .tuungane kuitoa CCM ni bora tujaribu upande mwingine tupambane ni bora...
Nina mpenzi anaitwa anna sasa kapata ujauzito na yeye anamuogopa baba ake sana sasa anataka atoe iyo mimba ila mie sijamuunga mkono je nimsaidiaje maaanake anasema nikanunue vidonge au ni mpeleke kwa doctor ila mimi moyo mgumu sana namwogopa MUNGU .je ni msaidiaje ? Wandugu mliowahi kutoa mimba
nilikuwa nipo kijiweni kijiwe cha draft tukaanza kuzungumza kuhusu siasa sasa watu wengi walikuwa wanaponda sana kuhusu uchumi ikatokea mwingine wanasema kuwa mambo mbona mazuri daaah kilichotokea matusi hadi kutishiana kupigana Ngumi bhasi mimi nikasema jamaaan siasa sio ugomvi unaweza ukawa...
kama una tatizo la software na programe yeyote kwenye computer kwa wilaya ya kasulu (kigoma) tutafutane nitakuwekea kwa bei ndogo kwa mawasiliano namba zangu ni na nyingine ni
Napatikana nipo likizo
Nimesoma kwenye vitabu tu ila waliokuwepo kipindi cha azimio la Arusha maisha yalikuwaje? Nataka niandae notes juu ya azimio la Arusha, nahitaji kuongeza uelewa.
Nashangaa mtu akikamatwa na polisi lazima mara aanze kusema yeye ni anafahamiana na mkuu labda mkuu wa polisi ,au mkuu wa mkoa wengine wanafikia hadi kusema wanafahamiana na waziri na hili halipingiki na ukweli huwa na namba kabisa ya hao wakuuu wao .SASA DAWA YENYEWE NI KUWA AKIKUKAMATA...
Kama bandiko linavojielezanaomba kama unajua vitu mbalimbalina mambo yanayomuhusu 2pac naomba kujua ,......kwa sababu kuna kibao kimoja nimepitia mashairi yake nikajua jamaaa alikuwa ni zaidi ya great thinker shair lenyewe ni hili . "I Wonder If Heaven Got A Ghetto"
[Chorus:] I wonder if...
Yaaan nimeota ndoto anga zima limebadilika na viumbe wengi wanakimbia huko na huko inatisha zaidi ya horror movies.
Sasa hiii ndoto huwa inajirudia sana ila kwa mtindo tofauti mfano unakuta kuwa naota kuna vita anga zima limetekwa na ndege na kuna tisha sanaaaaa .....
Why this? Je ni ndoto au...
raggae ni tofauti na miziki mingine ni mziki ambao hauchuji hata kidogo hasa ukiwasikiliza lucky dube .Dube alikuwa mtaalamu sana wa kinanda sikiliza wimbo .Back to my root vinanda humo unakisikia ,,,,,,,tuje kwa bob marley yeye na wimbo wake wa redemption song ..hatari sana kwa gitaaa na...
kama kweli mnapinga adhabu ya kifo kwa nini wanauawa wezi mitaaani wanachomwa moto wakati mahakama ipo unafiki huwa sipendi sikuzote maishani chagua moja kukataa kujichukulia sheria mkononi wakati mahakama ipo sio unapinga hukumu ya kunyongwa wakati mtaaa umenyonga watu wengi ambao hawana hatia...
chadema mnajiita makamanda wakati hata mgambo hamjapitia why nataka kujua ukamanda upi huo wakat kila kitu mnapinga sijawahi ona mmesifia kitu chochote kile katika utawala wa ccm na hata magufuli why ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.