Binafsi nilikuwa muumini wa MABADILIKO nimeumia sana kuliko maelezo kuanguka kwenye uchaguzi huu
Plan B niliyonayo ni kwamba sitapiga kura tena kwenye nafasi ya urais mpk pale siku Tanzania wapinzani watakuwa na nafasi za ubunge nyingi bungeni 134 na zaidi.
Siku ambayo wabunge wa upinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.