Nataka kufahamu zaidi kuhusu utoaji wa mahari kwenye masuala ya ndoa kama:-
1. Mahari ni nini?
2. Mahari ni muhimu katika ndoa?
3. Bila mahari ndoa hiyo ni batili?
4. Nani anahusika kupokea na kutoa mahari?
5. Je,! Wasiotoa mahari wanatenda kosa gani kisheria?
Karibuni ndugu kwa msaada wenu
Vitabu hivi vinabainisha dini na Mungu, kama unataka dini nzuri ni kusaidia hao wenye uhitaji na siyo vinginevyo. Mungu kimsingi hana dini ila anaishi kwenye watu wanaoamini dini hizo basi.
Serikali yetu ya Tanzania ina mipango na malengo mazuri ya kukwamua wananchi wake katika wimbi la umaskini na kuna mashirika mbalimbali ya kiserikali na yasiyo ya serikali yanayoshughulikia jambo hili. Lakini cha kushangaza TASAF ambayo ni shirika moja wapo sijaelewa wanufaika wake na ni mali ya...
Walimu hawana baba wala mama Kila mmoja ni mzazi. Heshima ya walimu inabagazwa sana na watu wanaodharau taaluma ya walimu na walimu. Ujinga huu ukiruhusiwa taaluma hii pamoja na vyuo vyake watakuwa wameshushwa hadhi yao km taasisi za kitalaaluma na kuwa kikundi au genge la wahuni tu
Mtoa mada yeye mwenyewe anamini maandishi asiyoyaleta mwenyewe. Matusi yanayoelekezwa kwenye Dini na waumini wake hayafanani na mafanikio ya watu kimaisha hata China wapo maskini km walivyoa Africa
Nimefurahishwa sana na maelekezo ya TAMISEN chini ya waziri Jafo kuwa awamu hii hakuna kuweka mpira kwapani bali gozi litegwe uwanjani lipigwe
Nina maswali kadhaa
1 nani kaweka mpira kwapani kati ya Wapinzani na Chama cha dola
2 kuna shida gani ya kumlazimisha aliyeweka mpira kwapani kudunda...
Ulishawahi kumuuliza baba/mama ako kwani nini walishiriki ngono, kwanini mama ako alipewa mimba na baba ako, kwani nini walikuzaa? You can't challenge the creator by your own person thoughts.
Mpiga kristo yupo na anatumia watu kama ww.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukiendelea kuwa na maprofesa km ww nadhani taifa hili litaanguka na kufa maana mchango wako hata chaekechelea anaweza kosoa kwa hoja na siyo pumba zako hizo; pole
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.