Wanafunzi mwaka wa pili kozi tajwa hapo juu ambao ni wanufaika wa mkopo HESLB wameshindwa kupewa stahiki zao baada ya bodi kutuma majina bila allocation. Tunahitaji msaada wa mawazo tu jamani. BED, NA LAW WAMESHASAINI BUM TAYARI LAKINI MENGINE HAYAJATOKA JAPOKUWA KUNA HALI YA UVUMILIVU NA UTULIVU
Kuna dhana ya upendeleo katika kugawa boom linapoingia chuoni.
Wateja wengi wa NMB hatutendewi haki na loan officers.
Ni jambo la kushangaza sana pale unaposign boom lako, ukathibitisha kwa macho yako kuwa pesa zinafanyiwa mchakato wa kutumwa kwa njia ya mtandao na loan officer kwenda bank...
Kuna tatizo linanisumbua sana, nimeappeal mkopo wangu, nimechunguza sehemu zote zimejazwa vzr, cha kushangaza zaidi nikiangalia application status ninaambiwa INCOMPLETE! Tatizo ni nini wakurugenzi? Nahitaji msaada wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.