Search results

  1. P

    Amerudi baada ya siku mbili baada ya kuondoka na mwanaume anayedai alikuwa mpenzi wake wa kwanza

    Mkuu. Pole sana kwa masaibu hayo. Kwa upande wangu ninaona huo ni mpango uliopangwa na dem pamoja na first love wake kwa lengo maalum Mpaka kufikia mwanamke anakusaliti it means hana upendo na wewe kutoka moyoni, umependwa kwa sababu nyingine mkuu Kingine anaweza kukutumia kama mwamvuli wakati...
  2. P

    Spika Ndugai aitaka serikali kufafanua juu ya mikopo ya wanafunzi elimu ya juu

    MI NAONA MAKA HUU WANAANZA NA FIRST YEAR KWA CHUO FLANI LAKINI SECOND NA THIRD YEAR HAWAJAPATA......................... NGOJA NIWEKE PLASTA KWA MDOMO WANGU NISIJEZUA MENGINE
  3. P

    Je mahakama ya mwanzo wanaruhusiwa ku-certify vyeti

    Mie walinilamba 5,000 bila risiti nikakausha kuondoa usumbufu.
  4. P

    Heslb: tumaina makumira main campus: wanufaika wa mkopo mwaka wa pili 'bedmath', 'bedpe' na 'beece'

    Mhhh mi sikuoni wa ajabu sana, inawezekana kiwango chako cha kufikiri kimekomea hapo.
  5. P

    Heslb: tumaina makumira main campus: wanufaika wa mkopo mwaka wa pili 'bedmath', 'bedpe' na 'beece'

    NI LAW, BAED NA BED NDIO WAMEPATA. LAKINI BEDMATH, BEDPE NA BEECE BADO HAWAJAPATA
  6. P

    Heslb: tumaina makumira main campus: wanufaika wa mkopo mwaka wa pili 'bedmath', 'bedpe' na 'beece'

    Wanafunzi mwaka wa pili kozi tajwa hapo juu ambao ni wanufaika wa mkopo HESLB wameshindwa kupewa stahiki zao baada ya bodi kutuma majina bila allocation. Tunahitaji msaada wa mawazo tu jamani. BED, NA LAW WAMESHASAINI BUM TAYARI LAKINI MENGINE HAYAJATOKA JAPOKUWA KUNA HALI YA UVUMILIVU NA UTULIVU
  7. P

    Mume ahukumiwa miaka 60 jela kwa kosa la kumlawiti mkewe akiwa mjamzito

    HAKUNA STRONG REASON KTK HUKUMU KWANI YAWEZEKANA NI NJAMA ZA WANAAMILIA KUMWANGAMIZA BW MKUBWA, SUALA JINGINE NI KWAMBA FAMILIA HAIKUFIKIRI KABLA TA KUTENDA KWANI WANAFIKIRI MTOTO ATAKAYEZALIWA ATAPATAJE MAPENZI YA BABA YAKE, IMAGINE KWA BAHATI MBAYA MAMA YAKE AKIFARIKI, MTOTO HUYO ATALELEWA NA...
  8. P

    Naomba kujulishwa jina la mwimbaji huyu wa zamani

    Jamaa aliimba hivi Juli mi nakonda kwa mawazo juu yako mama........ Ninakupenda penda.....Nijibu kama wanipeeeenda......
  9. P

    Sababu ya kuchelewa kwa pesa ya kujikimu vyuoni ni ipi?

    Kwa upande wangu ni faida, coz watalipa wiki moja kabla ya UE then tutakwenda home ilihali mifuko imetuna; tayari kwa kutimiza malengo yetu tuliyopanga. Hapa kazi tu.
  10. P

    Loan officers mlio vyuoni msiwanyanyase wateja wa NMB

    Kuna dhana ya upendeleo katika kugawa boom linapoingia chuoni. Wateja wengi wa NMB hatutendewi haki na loan officers. Ni jambo la kushangaza sana pale unaposign boom lako, ukathibitisha kwa macho yako kuwa pesa zinafanyiwa mchakato wa kutumwa kwa njia ya mtandao na loan officer kwenda bank...
  11. P

    Tuwaite watoto wetu majina ya asili

    Sikubaliani hata kidogo juu ya suala hili. Majina ya ukoo huambatana na damu(mzimu) ya walokufa, ktk hili tunakuta mtoto anacopy vitu vyote (hasa tabia na mienendo ya mwenye jina) na kupaste nafsini mwake. Suala gumu linakaa ktk damu anayoirithi kama inajenga au inabomoa. Binafsi sipendi...
  12. P

    Msaada: Tatizo la ku-appeal mkopo heslb.

    Ngoja tusubiri labda suala hili litapata muafaka. Tuzidi kumwomba Mungu
  13. P

    Msaada: Tatizo la ku-appeal mkopo heslb.

    Kuna tatizo linanisumbua sana, nimeappeal mkopo wangu, nimechunguza sehemu zote zimejazwa vzr, cha kushangaza zaidi nikiangalia application status ninaambiwa INCOMPLETE! Tatizo ni nini wakurugenzi? Nahitaji msaada wenu.
  14. P

    Kurudisha 25% ya mkopo HESLB

    you must pay 25% for your loan to be sent to your university
  15. P

    Msaada: (HESLB 25%) walioacha chuo na kujiunga na chuo kingine

    Kwa waliotimiza vigezo vya 25% HESLB mkopo wao utatokalini jamani? Tunaomba msaada wakurugenzi.
Back
Top Bottom