Mkuu. Pole sana kwa masaibu hayo. Kwa upande wangu ninaona huo ni mpango uliopangwa na dem pamoja na first love wake kwa lengo maalum
Mpaka kufikia mwanamke anakusaliti it means hana upendo na wewe kutoka moyoni, umependwa kwa sababu nyingine mkuu
Kingine anaweza kukutumia kama mwamvuli wakati...
MI NAONA MAKA HUU WANAANZA NA FIRST YEAR KWA CHUO FLANI LAKINI SECOND NA THIRD YEAR HAWAJAPATA......................... NGOJA NIWEKE PLASTA KWA MDOMO WANGU NISIJEZUA MENGINE
Wanafunzi mwaka wa pili kozi tajwa hapo juu ambao ni wanufaika wa mkopo HESLB wameshindwa kupewa stahiki zao baada ya bodi kutuma majina bila allocation. Tunahitaji msaada wa mawazo tu jamani. BED, NA LAW WAMESHASAINI BUM TAYARI LAKINI MENGINE HAYAJATOKA JAPOKUWA KUNA HALI YA UVUMILIVU NA UTULIVU
HAKUNA STRONG REASON KTK HUKUMU KWANI YAWEZEKANA NI NJAMA ZA WANAAMILIA KUMWANGAMIZA BW MKUBWA, SUALA JINGINE NI KWAMBA FAMILIA HAIKUFIKIRI KABLA TA KUTENDA KWANI WANAFIKIRI MTOTO ATAKAYEZALIWA ATAPATAJE MAPENZI YA BABA YAKE, IMAGINE KWA BAHATI MBAYA MAMA YAKE AKIFARIKI, MTOTO HUYO ATALELEWA NA...
Kwa upande wangu ni faida, coz watalipa wiki moja kabla ya UE then tutakwenda home ilihali mifuko imetuna; tayari kwa kutimiza malengo yetu tuliyopanga. Hapa kazi tu.
Kuna dhana ya upendeleo katika kugawa boom linapoingia chuoni.
Wateja wengi wa NMB hatutendewi haki na loan officers.
Ni jambo la kushangaza sana pale unaposign boom lako, ukathibitisha kwa macho yako kuwa pesa zinafanyiwa mchakato wa kutumwa kwa njia ya mtandao na loan officer kwenda bank...
Sikubaliani hata kidogo juu ya suala hili. Majina ya ukoo huambatana na damu(mzimu) ya walokufa, ktk hili tunakuta mtoto anacopy vitu vyote (hasa tabia na mienendo ya mwenye jina) na kupaste nafsini mwake. Suala gumu linakaa ktk damu anayoirithi kama inajenga au inabomoa. Binafsi sipendi...
Kuna tatizo linanisumbua sana, nimeappeal mkopo wangu, nimechunguza sehemu zote zimejazwa vzr, cha kushangaza zaidi nikiangalia application status ninaambiwa INCOMPLETE! Tatizo ni nini wakurugenzi? Nahitaji msaada wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.