Hongera Sana mkuu umenikumbusha ciku hiyo tulichomolewa mida ya alfajiri kuelekea kwa Nkariba.,,,,,,,,,,, ciwez kusimulia yote ila tulirudi hom tunachechemea ambapo kilichofuata ni kuishi kwa babu na kuhudhuria nyimbo za jando kila jioni kwa takriban ciku 30,,,,,,,,,,ni mengi ila naomba kutia...
Watoe maelezo ya kina kwa sababu huwez kufanya mazishi ya milli iliyookotwa Bila kutoa taarifa kwa umma na kutoa Muda kwa umma kuweza kushiriki katika kutambua marehemu hususan waliopotelewa na ndugu zao.Wahusika wajitokeze na kufafanua ili swala kisheria ili kuondoa hii sintofahamu iliyotanda!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.