Muwe mnaweka akiba ya fitna na majungu
Mtu anauza ubunge bei gani? Wakati akiingia bungeni kuna mamilioni yapo yanamsubiri
90 ya gari anaweza kukopa mpk 200 m kwa udhamini was bunge sasa muuza ubunge hulipwa bei ipi?
Kweli likifanyika kwa mtiririko huo kuanzia juu litakuwa na ufanisi sana ila wataumbuka wengi ha ha iuna cv za vigogo ukiziangalia unajua ni famba
Hawa watatoka povu kuzuia zoezi kwa wanasiasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.