Huku kutazama video YouTube na kujitia tunapinga sana hoja za Kimungu kwa kujifanya wajuzi ni umbulula,
Nadhan mtu angeibuka na wazo hilo bila kusaidiwa kushikiwa akili zake angekuja na hoja za kimantiki ningemuona mwenye akili, hadi akili zenu mmeshikiwa,
Hoja za Kimungu hazipingwi kwa...
Kama Mungu ni muasisi Wa maisha yetu,
Sioni ugumu kuamini kila kitu maishani, pamoja na kifo ni kazi yake,
Huku kuchambua matendo ya Mungu ni kumlimit Mungu aliye mwazilishi na mkamilishaji mwendo wetu hapa duniani.
Uzima na kifo yote kazi ya Bwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.