Tumaini Letu Na Imani Yetu Tumekuamini Tukitegemea Ufatiliaji,
Uwajibikaji, Uadilifu Na Uchapakazi Kwa Serikali Ya Awamu Ya Tano.
Hongera Kwa Ushindi Na Tunakutakia Maazimisho Mema, Mazuri Kwa Ushindi Na Siku Yako Ya Kuzaliwa Mheshimiwa Rais Mteule Wa Awamu Ya5 Wa Jamhuri Ya Muungano Wa...
Hoja:~ Swali ni kwamba kama uchaguzi wa zanzibar umefutwa ina maana kura za visiwani wagombea wa bara hawazipati
~ Kwa mjibu wa Katiba ya tz (1977) ibara ya 96 kifungu cha 2 kipengere cha 6 (a) endapo uchaguzi utafutwa Zanzibar hata Tanzania bara pia utaonekana batili manake Rais huchaguliwa na...
Kama uchaguzi wa zanzibar utakuwa umefutwa kwa sabababu haukuwa wa huru na haki swali langu kwa wazanzibar ambao wana haki ya kumchagua rais wa jamuhur ya muungano wa Tz je uharali wa kura zao uko wapi?? Binafsi hicho kitu ninaona kina madhara tena makubwa kwa uchaguzi katika upande wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.