Hadi sasa hakuna hata mchezaji mmoja wa kiwango cha Messi au Ronaldo aliyesajiliwa.
Nilitarajia Mwenyekiti au Katibu mkuu hivi au outspoken MP from their strongholds.
Kwangu zoezi ni failure, total failure.
Nadhani TCRA wawe pia wanatathmini ubora wa kile wateja wanachopewa.Hiki kipindi kina Quality ndogo sana.Nusu nzima wanaweza wahoji masao bwire na Tobias kifaru.Hakuna maandalizi kabisa.Kipindi cha leo ni mfano halisi.
Huyu ndugu alipoondolewa yeye na Wambura hoja ya ubovu wa katiba ilipoanza.Hata Makala ndipo alijitokeza.
Mtandao alioanzisha unafanana na ule dhidi ya akina Sumaye na Salim Ahmed Salim wakati ule kutumia magazeti na tv kuchafua washindani wao.Clouds sports extra na sports bar wanaimba kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.