Mimi mwenyewe nimekomaa kama ww tena zaidi yako ,,,na hata chuo waligoma kunipa usajili mpaka nilipe ada ,,nikatumia akili na miundo mbinu mikubwa bila kuwa na msaaada sehemu yoyote lakini ,matumizi ya akili nyingi yakanipa maarifa nikapata hiyo milion moja nikalipia ada nikapata udahiri ,,then...
Unajua humu ndani na mtoa mada hamjielewi ,,mnajua tofauti ya TCU na NACTE???? Anasema form four wasiende diploma direct nazani nachanganyikiwa sababu tangu enzi za nyerere vyuo kama MTC,DTC,ATC,vilikua vikitoa FTC na diploma kwa ujumla
Tumia matumizi ya akili nyingi uweze kusurvive jina litakuja tu wiki hiyo inayokuja ,,,sababu hata sisi ni kama ww ila tunakomaaa kibishi na maisha yanasonga
Acha uboya wakati ww upo pspf ,nssf,gspf ,lapf,mifuko yote hiyo inatoa mikopo ya elimu kwa waajiriwa sasa kwa nini ubanane na sisi huku bodi ya mkopo wakati una means tayari
The student with Index number 'S0314.0019.2002' did not secure a higher education loan for 2015/16 academic year in the Lots 1, 2, 3, 4, 5 & 6 (New) of allocations.
The student with Index number 'S4117.0060.2014' did not secure a higher education loan for 2015/16 academic year in the Lots 1, 2, 3, 4, 5 & 6 (New) of allocations.
Bado kuna lot nyingine kama ya watu kama 600 hivi xo subirini vijana next wiki itatoka,,,ila kama ulikua na tatizo wasumbue Mara kwa Mara ,,Mimi nimekomaa kama Mara 1000 hadi leo nimefanikiwa hakuna kukata tamaa
Lot ni za freshas ,,hapa ni kazi tu ni kupiga msuli mpaka kielewe na nikimaliza tunaurudisha mkopo wao na vizazi vingine vipate na vyenyewe ,huo ndiyo uzalendo kwa taifa langu tanzania
Nyie wandugu mambo yenu yanashugulikiwa na vijana juzi nasikia waliandamana na waziri mkuu mpaka bodi xo nasikia wapo kwenye awamu ya mwisho ya kurekebisha matatizo theni watarelease lot nyingine soon
Hayo majina ya nini hata Mimi cijayaelewa ,,,,tueleweshe mkuu alafu nicheki kwa no hii tupeane mautundu na njia mbadara sio unakata tamaa kirahisi hivyo ,,0765-434638
nyie wandugu ,,nilicho gundua sio kwamba bodi wanaupendeleo ila kuna missing of information ,,maana ake kuna makosa mengine ambayo hayapo kwetu kabisa ,,na kitu kingine bodi hawana office mikoani sababu wangekuanazo ni virahisi kwa watu kufatilia na kupata mkopo ,,kwa mfano Mimi imenilazimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.