Ikifika saa moja hamna usafiri mjini ni nadra sana. Hii ni maeneo posta. Mabasi na bajaji mpaka uende mafiati kabwe au mwanjelwa
Sasa fikiria mtu ambae yuko posta anatembea umbali gani kufika vituo vikuu afu fikiria ni mgeni hata hajui hivi vituo.
Mkuuu Mbeya ni ushamba tu. Hili hitaji lipo. Nimekuja huku mara nyingi na makampuni kibao wote tunapata shida hio, inatugharimu million 20 usafiri mbeya kwa mwaka, nikicheki na wenzangu wa kampuni nyingine nao hivyo hivyo, ilifika wakati tulipanga kununua gari likae huku ila sasa unaweka kwa...
Ataenzisha biashara ya Uber au Bolt Mbeya atapata pesa sana, pamoja na magari executive ya kukodisha.
Mimi kila nikiwa na kazi kule inagharimu ofisi yangu million 5 kusafirisha dereva na magari mabosi yaende kule ili kuwazungusha, sasa sisi wafanyakazi wengine tukifika tunabaki hohe hahe...
Ni vema
Ujue kwamba nia yangu sio kutoamini mwansheria bali kutoamini mahakama. Nadhani mnafahamu fika kwamba mahakama nyingi hazina haki. Usipindishe maana yangu tafadhali. Hata mwanasheria wangu naona anapata shida na kupotezewa muda ilhali anafuata kanuni vema kabisa. Anaweka vikwazo...
Mwache mkeo aheshimishe kwao. Kwasababu hata wewe mwanaume lazima ujenge kwenu. Utazikwa wapi? Na yeye asipoendeleza kwao familia yake itamwonaje. Msingi ni kwamba asiiosahau familia yake ya sasa.
Nsekela kama kazi imekushinda acha. Crdb wamekua hovyo sana jamani. Customer service unapiga unasubiri dakika 10 kuongea na mhudumu. Hela zinatolewa kwenye account hazirudi ukipiga simu kureport hamna majibu wala msaada aise. Leo rasmi nimehama benki.
Naomba kwa usalama wako msiweke pesa crdb...
Habari Wananchi, nimekuwa na wazo kwamba tuweze kuwareport wenyenyumba wasumbufu either hapa hapa au tufungue telegram. Mtu akiwa anapanga nyumba acheki telegram na thread afanye maamuzi sahihi ila tuwe na uthibitisho pia.
Nimekutana na sakata moja la mwenyenyumba msumbufu sana. Ana lugha za...
Doh sijaona mwanaume mjinga kama huyu. Haya yote ni madhara ya kutokua na hela. Weusi aina wowote mapajani kwapani ni aina ya skincare anazotumia. Mpende mwenza wako. Mpe hela kila mwezi ya matunzo ya ngozi yake. Aende spa kufanyiwa scrub na waxing anakuwa mweupe uko chini mpaka unaweza kula...
Nimesoma uzi wako nimepata hadi mshtuko. Hivi kuna wanaume rijali kabisa hawajui thamani ya wanawake? Wamezaliwa na nani na wanatunzwa na nani majumbani mwao? Wala usibishane nao wewe wapite kule dada mzuri. Aiseyefunzwa na ***** atafunzwa na ulimwengu.
Nina miaka kadhaa ndani ya ndoa...
Mke wangu anasali hilo kanisa. Nisikilize mimi, kama unataka kukua kiimani nenda kasali pale. Hawana longo longo na wanakupa za uso, ukizingua unaaambiwa wewe hamna pekecha pekecha mimi naona kabisa wife kakua kiakili na kiroho baada ya kusali pale ni kanisa zuri na wanajielewa. Pili sio...
Nasema hivi wewe hao watoto wanaolelewa na dada wa kazi wape miaka mitatu utapata majibu ya maswali unayouliza hapa. Nawahurumia mno watoto wako hawadeserve baba kama wewe usothamini wanawake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.