Wadau habari zenu,poleni na kibarua cha elimu ya Tanzania... kwa wale ambao wanataka kuhama vyuo kupitia TCU nadhani mpaka sasa CAS haifunguki...katika page hii tunaomba tujuzane itakapofunguka,au Kama hutoweza kutujuza humu ndani basi tuma sms kupitia 0676476546 namimi nitawajuza wengine...
Wadau mliochaguliwa mzumbe university mbeya campus Na mliokwisha maliza usajili je mpaka kumaliza process zote umegharamika Tsh.ngapi? Ukichanganya Na ada Yao uliyotoa mpaka kukupokea? Nataka nijue Ili nijipange nisije kwenda kuumbuka mwisho wa siku nikose kupokelewa.
Wadau,Kama umechaguliwa Eckerniforde Tanga university au Chuo chochote kilichopo jijini tanga,Mimi Ni mwenyeji ambaye nimezaliwa Na kuishi Sana jijini tanga,,,,,
maisha ya tanga hayatofautiani Na ya mbeya kwa bei ya vyakula,tofauti yake ipo kwenye upatikanaji wa pesa Tu. Tanga tuko nyuma katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.