Hiyo ni mbaya sana mnatakiwa kujifunza sio tu nafasi za Ubungebali pia nafasi za Udiawani kwani hata kata niliyopigia kura nimeonamajina ya mgombea kutoka CUF na CHADEMA na hivyo kuwachanganyawapenda mabadiliko wachague nani kati ya hao.Hiyo imefanya mgawe kura na kuwapa CCM kushinda kirahisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.