Mungu kakupa siku sita za kufanya shughulu zako lkn anataka ckumoja kwa ajili yake ....sasa hata hiyo cku moja unataka kumuibia muda wake hicho ni kiburi cha uzima, Muombe msamaha Mungu faster.....
upo sahihi mkuu kuwaendeleza hawa madogo ni kazi kweli....coz mchezajia analelewa kwenye timu sasa timu zetu za kuwalea hawa madogo ndo simba,ndanda,yanga.......
Cdhani kama wamarekani wapo tayari kiuchumi kuanzisha vita nyingine ambayo haina faida kwao kiuchum katika muda ambao uchumi wa china unaendelea kukua kwa kasi na kuatarisha ushawishi wa USA dunia ...... me nadhani ilikuwa gun boot diplomacy ..... kumtikisa dogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.