mimi naomba kuuliza hivi ni tanzania tu ndio kuna maaskofu? mbona Italy ambako makao makuu ya baba mtakatifu yapo hatujawaji sikia anaingilia habari za siasa, huwa anombea tu amani! au Ujerumani ambapo ndipo chimbuko la walutheri hamaga hizi story za nyaraka za kisiasa? sisi waTZ tumepata wapi...
kwa mtaji huu, nahisi yule mtoto aliye mcheka baba yake aliye kuwa uchi baada ya kulewa mvinyo atakuwa na asili ya Tanzania, maana sijaona nchi nyingine ya africa yenye watu wanaoshtaki nchi zao kwa wazungu kila kukicha! kuna nchi zina matatizo lakini wanakomaa kivyao, angalia jirani zetu kenya...
Boaz, ukitaka kujua umuhimu wa police, nenda kituo cha jirani yako, kaa kwa robo saa tu utajua umuhimu wao! yaani na kama hospital! usipoenda mwenyewe basi utapelekwa! hawa jamaa ni wa kuheshimu sana sii wa kubezwa hata kidogo! wangeruhusiwa kugoma japo kwa masaa sita tu, hakuna ambaye...
jamani pamoja na picha zote hivi bado hamja gundua tatizo???, ni nchi gani Highway ipo kama hizi zetu ambapo gari zinakutana? vibarabara vyembamba gari zinapishana utafikiri bado tupo kwenye 60s? kwa wenzetu magari yanayoenda upande mmoja haya kutani na yanayorudi! hivi hatuoni kwamba design ya...
suluhu ya huu uhuni ni kama watajitokeza wanasheria wazuri waaandae hoja hawa wabunge woote washatakiwe kwa kosa la uhujumu uchumi! sababu zipo wazi za kuwatia hatiani na hata wakishinda, mara nyingine mtu atafikiria mara mbili kabla ya kujiuzuru kwa sababu za kipuuuuzi!
subira ipi? maana hata mafao yameota mbawa maana baada ya kuunganisha mifuko ya hifadhi ya jamii, mafao yatakuwa kiduchu ile mbaya formula ime badilishwa yaani maumivu yataanza mara moja baada ya sheria kutiwa sahihi! mbaya zaidi ssra wanasema wafanyakazi ndio wameomba na kushinikiza hivyo...
wee murisya kama hii UNCRUMCISED yako una maanisha "UNCIRCUMCISED" ukome kabisa wakurya koo zoote ulizoambiwa hapo juu tuna tahiriwa kwa kisu tena bila ganzi so watch your language kenge wee! kwanza shule yenyewe hujaenda tafuta watani zako mambo yetu hayakuhusu nyambafu we!
wee murisya kama hii UNCRUMCISED yako una maanisha "CIRCUMCISED" ukome kabisa wakurya koo zoote ulizoambiwa hapo juu tuna tahiriwa kwa kisu tena bila ganzi so watch your language kenge wee! kwanza shule yenyewe hujaenda tafuta watani zako mambo yetu hayakuhusu nyambafu we!
yaani unaamini hivyo? kuna kitu kinaitwa "mole", jerico nyere atakufafanulia siku moja. that is a smart and calculated move! just like in chess!, "check and mate"
Mwingine atakaye kuwa billionea wa ukweli ni huyu mtani wangu Max mwenye JF, kwani by 2025 hivi Google watanunua vyanzo vyote vya data kwa ajili ya "Big Data" business ambapo data zitakuwa na value kuliko mafuta ya mwarabu so mtani kaa mkao wa kunywa rubisi ki ulainiiii! vumilia tu na uache kale...
kumbe kuna ACACIA nyuma ya pazia? sasa naanza kuona kazi ya wale military strategists, kazi yao imeanza sasa tusipoangalia soon tutashuhudia vurugu nyingi tu! kuna wataalam wa wanaitwa crisis makers na kuna wale wa kufanya sabotages so tuwe macho! Learned brothers and sisters angalieni sana...
kiingereza cha the mboy andi the ngal! rubbish! kwanza kwenye ranking ya mataifa ya ki afrika yanayo ongea kiingereza kizuri hampo!! you ngal! what you are good at is aping and nothing more!
wote ccm na cdm wapo sawa hujui ni lini wana dhamira njema na nchi, kudhihirisha hilo ni hayo matokeo ya uchaguzi na ikifika wakati wa kupigia kura bajeti utaona wabunge woote wa ukawa wanapiga HAPANA na wale wa kijani NDIYOOOO! so usiumize kichwa chako bure maana jogoo awike asiwike kutakucha...
Ni kweli kabisa. vipi watu wa Rock City kwema? angalieni yale mawe yetu yasije shuka! na wale wa milimani muwe makini, it seems mvua bado imo ya kutosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.