Ushauri,unapoanza ujenzi ni muhimu sana kuanza kujenga kisima cha maji au karo tena karo hilo au kisima hicho kiwe kikubwa cha kutosha kuhifadhi maji kisi cha malori yasiyopungua matatu.Kiwe cha chini ya ardhi kwa maana hiyo utahitaji kuchimba na kujenga. Faida mojawapo ni kwamba kifusi...
Tajiri Tanzanite,..................nianze kwa salamu kwako.................Na hakika swali zuri sanahili.
Swala la kuzungushia mabati au uzio katika site ya ujenzi iwe wa jengo au structure nyingine yeyote ni la kitaalam zaidi na huwa kitaalamu huitwa (site hoarding) pia sababu kubwa ni...
Wadau naomba msadaa nina laptop lenovo awali nilikuwa ninaweza ku play cd bila shida.
Juzi kati nimejaribu kuweka cd ila imekataa kusoma cd.
Nimejaribu kila namna haionekani hata kwenye my computer.
Naombeni.msaada
Mwenzetu
Contagion is a 2011 American thriller film directed by Steven Soderbergh. Its ensemble cast includes Marion Cotillard, Matt Damon, Laurence Fishburne, Jude Law, Gwyneth Paltrow, Kate Winslet, Bryan Cranston, Jennifer Ehle, and Sanaa Lathan. The plot concerns the spread of a virus transmitted by...
Naomba kushauri kuwa fupisha hilo andiko lako kwani ni refu sana pamoja na kwamba lina maudhui mazuri na ya msingi
Mwenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Shalom,....
Mosi,kwa uzoefu wangu ni kwamba usipowashirikisha waalikwa kwa ama njia ya kuimba michango au mipango ya maandalizi ya harusi,wengi huwa hawahudhiriihata kama utatoa mwaliko.
Pili,gharama kubwa za harusi huwa ni Chakula,vinywaji na mapambo.Gharama nyingine huwa ni fixed kama bei ya...
Salamu kwenu wote.
Nahitaji kununua Electricity Inverter yenye capacity ya 3000 watts yenye uwezo wa kuconvert dc 24volts to ac 240 volts.
Kwa yeyote mwenye nayo au mwenye kujua wapi naweza kupata naomba tuwasiliane kwa PM.
Wasalaam,
Mwenzetu
Kwa taarifa ni kwamba Afro mech ltd ni watengenezaji wa radiator za magari hapa nchini na wamekuwa na bidhaa zenye kiwango kikubwa sana kiasi kwamba wanatengeneza radiator za magari ya landrover na wamekuwa na mkataba wa supply radiator kwa miaka mingi sana.Hawa jamaa wapo tabata dampo.Mmoja wa...
Mkuu Champagnee,nakusalimu ....................alafu.................................fikiria pia kama huyu jirani yako angekuwa ni dada au ndugu yako,je ungechomoa betri.........................
Betri............................
Mwenzetu
Wadau habari za leo,
Natafuta fundi wa kunishonea Kaunda suti. Itapendeza zaidi kama atapatikana kwenye mojawapo ya mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma au Morogoro.
Nitashukuru sana kama nitapata mawasiliano yake.
Wasalaam,
Mwenzetu
Wadau nawasalimu wote,
Naomba msaada wa jinsi ya kuondoa au kuzuiya (ku dis-able pop up ads) kwenye simu. Ninatatizwa na kukuwaza sana na matangazo hasa yanayojitokeza kwenye simu wakati ninapokuwa na peruzi nyuzi humu jamvini.
Niseme ukweli mfano wa hili tangazo la TALA linanikera sana na...
....................................Chonde chonde,Bibi weye,.......................hala hala, hayo macho yawe na mipaka,ujue kuwa "Mume ni Mume hata akiwa gumegume ana sifa za mtume"..................................
............................................Asante kwa sifa hiyo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.