GAZETI la Morning Post la China Kusini limeripoti kwamba watu wazima nchini humo wanawalipa wanawake fedha ili wawanyonyeshe maziwa yao ya kifuani!
Wanawake wanaojitolea kutoa maziwa yao hulipwa kiasi cha dola 2,700 za Marekani (kama sh. Milioni 4) kwa mwezi ambapo watu wazima hao huweza...
Destruction of the Trade Centers:
Occult Symbolism Indicates Enemies Within Our Own Governmentby Robert Howard Hard Truth/Wake Up AmericaORDO AB CHAO
(ORDER OUT OF CHAOS)Albert Pikes Masonic Master Plan 9/ 11 9+1+1=11 Twin Towers =11 Flight 11...
Wakemea wanasiasa kutumia matusi majukwaani
Wasema usikivu, umakini wapungua kwa viongozi
Askofu Msaidizi Eusebius Nzigirwa wa Kanisa katoliki la St Joseph, jijini Dar es Salaam, akitoa mahubiri wakati wa ibada ya Pasaka jana.
Maaskofu wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo nchini...
nimeamua kutoa password yangu ya jf kwa member waaminifu.sharti ni moja tu:usiwe umepigwa ban kwa muda wa miaka miwili iliyopita.hii ni zawadi katika sikukuu ya idd el hajj.
ni pm ujipatie password.nawatakia sikukuu njema!!
kuanzia tarehe saba mwezi huu ni marufuku kwa pikipiki maarufu kama bodaboda na bajaji kuingia katikati ya jiji la dar es salaam.kauli hii imetolewa na sumatra.abiria watatakiwa kupanda bodaboda au bajaji kutokea pembezoni mwa mji na baadae kupanda mabasi yanayohudumia katikati ya jiji.
my...
kama ni kweli watanzania tunachukia ushoga ambao unaonekana kumiliki madaraka huko UK basi hatuna budi kususia kushabikia ligi ya uingereza ambayo ina mashabiki wengi hapa nchini.hii ni vita dhidi ya udhalilishaji wa mtanzania.kauli za kupinga ushoga ziendane na matendo yenye msisitizo.mods...
Wakuu habari za usiku.kwa mara ya kwanza leo hii nimeamua kuongozana na mwenzi wangu na mke wangu mpendwa ili nikajionee sehemu anayonunulia vi-top,skin jeans,mapande manane na vimin skirts vya mtumba. Si mnajua vimwana wa kisasa wanajipendezesha kutoka kwenye viduka vidogo vya mitumba...
baada ya misukosuko mingi,maandamano ya kumtaka ajiuzulu,mfumuko wa bei na hali mbaya ya uchumi.hatimaye mkulu anatimiza mwaka mmoja wa ngwe ya pili ya uongozi wake.
hii nimeikuta juzi wakati nikiwa kwenye foleni ya kulipia bili yangu pale makao makuu ya Tanesko mjini arusha.huduma kwa wateja zilisitishwa kisa umeme umekatika.
my take;kumbe mgao unawagusa wagawaji wa umeme??!!!
baada ya wahusika wote wa sakata la uvuaji gamba kuzungumza,kuna taarifa zisizo rasmi kwamba mzee wa bariadi Andrew chenge anajiaandaa kutoa dukuduku lake hivi karibuni.
hivi TBC wameingia mkataba na Dr Bana?ni mara nyingi sana TBC wanamtumia kama mchambuzi wa mambo ya siasa.ina maana hakuna wasomi wachambuzi wa mambo ya siasa zaidi ya Bana?
kwa muda wa miezi 6 iliyopita nimekua katika harakati za kukusanya coins za shilingi moja za kitanzania na kufanikiwa kupata jumla ya shilingi mia mbili,niliamua kwenda dukani kununulia sabuni bila mafanikio kwa sababu kila duka nilililopita niliambiwa hizi hela hazitumiki.katika kumbukumbu...
wakuu nimemaliza kuangalia taarifa ya habari ya saa nne asubuhi katika kituo hiki cha televisheni,nilitegemea habari ya kwanza ihusu uchaguzi wa igunga,lakini hakuna habari yoyote iliyorushwa kuhusu igunga.watanzania tunanyimwa haki ya kuhabarishwa sijui kwa maslahi ya nani?
Jk katika mambo...
kama ilivyotarajiwa timu ya Jkt oljoro imekuwa kivutio kwa wapenda soka wa arusha na Tanzania kwa ujumla,matarajio ya wengi ni kwamba JKT oljoro watarudisha heshima ya arusha katika soka.yanga na simba wasitegemee kununua mechi kutoka kwa vijana wenye nidhamu ya jeshini.kila la kheri vijana wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.