Ma-Moderator wa Jamii forums wana ubaguzi Wamemuonea kumpiga Ban Daktari wetu na Mshauri wetu Mkuu wa Jukwaa la Afya Jamii forums. Kwa chuki zao tu Ma-Moderator wamempiga Ban Doctor MziziMkavu. Mimi Nilimuuliza Dr.MziziMkavu kwanini wamekupiga Ban ?alinijibu Eti Ma -Moderator wanasema...
TATIZO LA KICHOMI NI MOJA YA DALILI ZA UGONJWA MOYO…
VIJANA wengi leo nyumbani Bongo wanapatwa na maradhi ambayo zamani yalikuwa ya wazee au watu wa makamo. Maradhi haya ni kama kisukari na mstuko wa moyo.
Kichomi ni moja ya dalili za ugonjwa moyo. Kupatwa kichomi mara moja moja si vibaya...
Mkuu Pole sana Kama jina lako lilivyo na maradhi uliyokuwa nayo jinsi yalivyo. Siku nyingine usipende kujipa jina baya kama ulilo jipa wewe humu Jamvini kwani ukijipa jina lolote baya baada ya miezi 3 tangu ujipe hilo jina huwa linafanya kazi yake. Ushauri wangu kama wewe ni Mkristo kwa...
Mkuu hongera sana kwa ushauri wako kwa Mheshimiwa Rais Magufuli. Lakini sidhani kama hao washauri wa Rais Magufuli wataweza kumpa huo ushauri wako mzuri. Kwani hao washauri wa Rais Magufuli wanampa ushauri mbaya Rais Wetuı wanampa ushauri wa kununuwa ndege nyingi wakati kuna mambo mengi ya...
Wa-Tanzania mulitaka Demokrasia ya vyama vingi pasipo na kujiandaa kuwa hayo yatakayo tokea Mambo ya Demokrasia ya Vyama vingi. Matokeo yake ndio hayo mnayo yaona kila kiongozi wa chama anatetea maslahi ya chama chake. Hayo ndio matatizo ya Demokrasia ya vyama vingi.
Rasi Magufuli ndio anaye faa kuliongoza Taifa la Tanzania. Kwa Sababu anafanya kazi kwa vitendo sio Viongozi wengine waliopita walikuwa wakisema majukwaani lakini hafanyi kwa vitendo. kura yangu nitampa Rais Magufuli Oyeee.
Honger Mkuu.@ Maxence Melo Penye haki siku zote ndipo penye ushindi. Tuko pamoja kwa hali na mali hongera kwa ushindi uliopata ndio ushindi wetu wote wana Jamiiforums.
Sio ID mbili za mtu mmoja mimi mwenyewe nilikuwa na hayo matatizo ya nguvu za
kiume kwa ushauri na matumizi ya dawa alizonipa mzizimkavu nimepona na nilikuwa ninapiga punyeto sasa kam mtu anakuja
kumuharibia jina mtu mwengine tunyamze eti ukisema ni ID mbili? kwa sababu unasema ukweli nini...
Acha maneno yako ya fitima wewe mimi mbona nimetumia dawa za MziziMkavu mbona zimenisaidia nguvu zangu za kiume zimerudi na nina nguvu za kuweza kumfikisha mwanamke kileleni . Wewe umekosea masharti ya kutumia dawa ulidhani ukitumia dawa tu pasipo na kula vyakula vyenye kuongeza lishe mwilini...
Kwanini aweke wazi MziziMkavu hivyo vitu vingine? Kwani hapa ni UN Umoja wa Mataifa? mbona unamsakama Daktari wetu namna hivyo wewe mkuu njamayo? Nimevumilia kwa kumsakama Daktari wetu Mzizi Mkavu sasa nimeona na mimi nikwambie ukweli wewe njamayo kama unajuwa Dawa ya kutibu kifafa weka hapa...
Mkuu MziziMkavu hatangazi Biashara anawasaidia watu hayupo kibiashara hujalazimishwa wewe kununuwa Dawa ukitaka kununuwa Dawa nunuwa tu si lazima ku Comment unaweza kuangalia hi Thread kisha uka ignore mkuu.
Na mimi pia nimetumia dawa za Mzizimkavu na zimenisaida kurudisha heshima nyumbani pangu nina nguvu za kiume kama nilivyokuwa nazo mwanzo ninamshukuru Mkuu MziziMkavu kwa dawa zake zimenisaidia sana. Mungu akubariki MziziMkavu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.