Kuna hiyo Kampuni hapo kama kwenye picha inavyoosha, Anatapeli watu kwa Kuwaaminisha kuwa inafanya biashara ya kuuza Laptop hapo mjini Dodoma.
Ukichat nae ukimuuliza kuhusiana na eneo ilipo Ofisi, anatuma Location ambayo Ofisi haipo na walishafukuzqa hapo.
Jamaa anayetapeli watu kwa kutumia...
Bibi Teresia Andrea Ghuliku mwenye Umri wa miaka Sabini na Tatu (73), mkazi wa Kijiji cha Siuyu, kata ya Siuyu Mkoani Singida kwa Umakini akisikiliza na kuandika kwenye Daftari lake Hotuba Nzima ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu. Daniel Chongolo aliyoitoa leo Mkoani Singida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.