pata maji safi delivered nyumbani kwako
gharama :tshs 15,000 per 1000lts
guarantee : Refund usiporidhika na ubora wa maji yetu
contacts :0782468639
competitive edge: Super clean water, timely delivery
WAKUU
SALAAM. Naomba mwenye ufahamu anijulishe je inachukua muda gani kupata fao la kujitoa PPF baada ya kusubmit documents zote zinazohusika ofisini kwao?
asanteni sana.
Watanzania mnatia aibu kwa kushabikia mambo msoyajua
Huyo mtu anaepiga hesabu za kimbumbumbu eti minara 1700 then cost ya mnara mmoja anazidisha kwa 1700, seriousl tanzania tuna hardly penetration ya grid ya 25% nchi nzima, sasa hiyo asumption ya umeme kuwepo allover imetoka wapi,
Secondly hivi...
Hapa kuna bwana mmoja kaletwa kama expert wa power hybrid systems alikuwa anasupport five accounts huko kwao (as in five countries) kuna issue uya kutest battery strength (backup batteries) anapewa multimeter polarities tu hajui katoa macho, its boring
Hizi tunaripoti kwenye mamlaka husika but...
Tanzania tunakoelekea siko,
Nikicheki jinsi wahindi walivyojazana maofisini, kila mmoja
akiwa na job title ya expert ,wakilipwa thrice our salaries
huku tukiwafundisha kazi, it pains aiseee
Hapana aisee, inaudhi enzi za silaa hatukuua na spika oovyo kiasi hiki ndo maana hali ilikua tulivu, Hivi wazee mnasikiliza bunge kweli au ni ushabiki tu usio na msingi?
Kuna mada mpaka aibuu, ile 29 billioni ya inovation imeniuma sana, and Mhe Mnyika anajaribu kuwaelimisha kwa calmness kubwa...
Currently kwenye ICT world kuna a very big issue ya breach of ethics, ethics ziko bound kwa professionals not any smartass with a pc, we need a board ya kufatilia mambo kama hayo, Issue ya certifications hakuna alokataza zitabaki kuwepo, lakini certifications ziko very vendor based in a way...
Mwanasiasa komavu mwenye shahada husika , this is a challenge to all those Unqualified politicians, Politics is a career not some deal every mropokaji can do!!!!!!:rockon:
Reading all your comments inatosha kuonyesha kwa nini Tanzania ni masikini,
Almost Kila mtu anamlaumu someone, if not CCM, then some fisadi somewhere up the chain
WATANZANIA SISI NI WAVIVU, HATUNA NIDHAMU YA KAZI ,NA TUNAPENDA STAREHE THATS WHY SISI NI MASIKINIII:eek2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.