Pia fahamu kwamba njia za Mungu (nakushauri uwe unaanza na herufi kubwa kila unapoandika jina la Muumba wako) hazina cha kuwa great thinker wala thin thinker, sisi sote ni mali yake. Hata babu nae ni mali ya Bwana.
Mbele za Mungu hakuna anaefanana nae kwa kufikiri wala kumkaribia. Uwe great...
Ni lazima ushangazwe na sisi maana hata rekodi yako ya kutunga thread haifanani hata kidogo na utakatifu unaohubiria na unaotaka babu afanye. Ulituletea thread yenye mbinu za utongozaji tena kwa mwanaume na mwanamke, leo hii useme unafahamu vizuri maandiko na utakatifu wake...
Nikiangalia hizo comment za blue na nyekundu natamani hata kulia.
Hivi kweli kutoa msaada kwa wajane na yatima ni kuchezea neema ya Mungu???
Judith, ulisoma sawasawa ulichokiandika??????
Kuchangia kanisa ni kuchezea neema ya Mungu????
Na ukiangalia hata huo mchanganuo uliouweka inaonyesha yeye...
Dia Miss Judy
mi nakupenda sana Judy, si unakumbuka tulivyocheza kombolela. Si ulikuwa unasikia raha?? Kule ktk michongoma anakujaga John andunje, atatuonea donge njoo kwetu basi, unajifanya unakuja kwa best wako Jeni. Halafu jeni ataitwa na mama, si tunaingia bafuni. Sema basi, shosti hajui...
Jamani, tuzo ya kwanza ya kuonganisha Uefa na Fifa imeenda kwa Messi. Lakin je, ni kweli Messi alistahili tuzo hii kwa kazi za mwaka 2010?? Kama kweli World Cup ina uzito mkubwa ktk tuzo, Xavi, Iniesta na Sneijder walikuwa ndo right candidates. Ukiunganisha na ngazi ya club, hakuna kama Sneijder.
Nakubaliana na wewe 100 kwa mia. Sneijder alistahili tuzo hii. Alipata mafanikio makubwa ngazi zote, club na timu ya taifa. Ajabu hata top 3 hayumo. Messi hakumfikia Sneijder kwa ngazi ya club wala taifa
Kwani siku hizi ulisikia watu wanaita polisi wakivamiwa usiku?? Hata wakiwaita wanakuja asubuhi. Polisi wetu hawakamati mhalifu ambaye ulimtaarifu kwa kupiga sim, wanakamata wapiga debe stendi na madaladala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.