Kwa maelekezo yako huko nyuma kuwa wewe upo na umejitolea kwa ajili ya kusaidia watu katika Tatizo FEKI hili walilo karirishwa....Sasa unapokuja na hoja za KUFIDIWA MUDA nashindwa kukuelewa ni katika ujanja wa kukwepa amma nini??
Mi nina kuhakikishia Katika Harakati zako ambazo mwenyewe umeamua...
NAKUFATA NA HUKU
Mi nishasoma maelezo yako mengi.
Kwa sasa nataka tufunge vitabu,makala,majarida na machapisho.
Twendeni katika Uhalisia wa Mambo.
Namuomba Deception na nipo seriuos kwa hili TUKUTANE KISHERIA TUKIWA NA SECURITY.
NIMU INJECT DAMU YA MGONJWA WA UKIMWI JAPO 1CC kisha...
Mi nitaamini vipi kama ni mtu umempanga wewe......Mi nimekuomba hivyo kwasababu mada zako nimehudhurisha katika Group langu la Afya la Whatsapp nimeona Tufike Tamati kwa hili kwa kukufanya wewe uwe GUINE PIG kwa kukubali TUKU INJECT damu ya Mgonjwa wa UKIMWI kisha tukupe miezi sita TUJE HAPA NA...
Nimefatilia maelezo mengi sana ya Bwana Deception.
Mi naomba kwa sasa tufunge vitabu,makala,majarida,maabara tuje katika uhalisia.
Yeye anapinga uwepo wa kirusi kiitwacho HIV ambacho kinasababisha UKIMWI.
NAMUOMBA YEYE BINFASI AJE AU TUKUTANE NA MIMI NIMU INJECT DAMU YA MGONJWA MWENYE...
Nyie CHADEMA lazima mtashutumiwa hvyo kwa sababu habari za yule Kameroun mlikaa kimya!!!!!!
Kama kweli mna mabwana zenu Ulaya,msituletee masuala ya kis*ng* hapa!!!!!!!
Jk tunakuomna usaini Muswada huo!!!!
Na wakiandama Hawa Mafala tuta wamwagia maji ya upupu na kuwapiga Virungu vya ugoko na utosi!!!!Mapaka shume wakubwa!!!!!
Mi si mtabiri ila historia na mazingira halis yanaweza kutupa picha kamili chama gani kitaongoza.
Kwanza:mara zote wapinzan wanagombea nafas ya pili ktk matokeo ya uchaguz na si kushika dola.
Pili:Inategemea CCM watamsimamisha nani?kama itamsimamisha Mkatoliki maaskofu watamuunga mkono na...
Mi nashukuru kuona mjadala wa katiba mpya unafika mahal pazuri sasa kwan kila mTZ ana toa maon yake kuhusu kutengeneza katiba mpya hata wale ambao vichwa vyao vilikuwa na kutu za KIJANI.Napenda kukipongeza CHAMA CHA WANANCHI(CUF)na Mwenyekiti wao Prof.Lipumba kwa kuwaonyesha watanzania mara...
Nina wasiwas na huyu KIUMBE alieanzisha hii THREAD kama ni muislam kweli na kama ni muislam basi ni JAAHIL wa dini yake au Myahud ametumwa!!!Kuna aya nyingi ndan ya Qur'an Tukufu zinazotufundisha waislam kutowalazmisha wengine kuingia ktk din yetu.
Allah anasema ktk surat Baqarah"HAKUNA...
Nakupongeza mwenzangu unaweza kuropoka kwa kuandika!Lakin sishangai sana kwasababu watu wa dizain yenu huwa wana MWILI MKUBWA AKILI GOROLI!We ulifikiria msafara niliokusudia mimi nikama hiyo uliyoitaja kama ndio hivyo mbona hata SIAFU wanamsafara.Misafara ya kiongoz haiwez kufanana na msafara...
Hapa nimeona tatizo sio jina kwan huyu bwana mkubwa anajua kabisa kama kuna vyuo ving Tz vya kikristo na vina majina ya kikristo,tatizo hapa ni chuo chenyewe maana waislam walipopea majengo na serkal ya awamu ya tatu wakristo walikuja juu kwanini waislam wapewe chuo ilihal wao wanapata maruzuku...
Mara nyingi huwa jambo hili linanishangaza sikukuu za kidini hasa za kikristo utakuta ofis za serikal(wizara,shule even hospitals)kupamba maua na wakati mwengine na kwaya zinapigwa.Na hiyo inayoitwa television ya taifa(TBS1)inaadhimisha krismas wiki mbili kabla na baada na inabadili mfumo wa...
Kaka sokomoko usikatishwe tamaa na Drugs victim na sex hawa wamekosea ilibidi waende kwenye tovut za kushauriwa ili wakae sawa maana wanaonekana ni wamechanganyikiwa.Ngoja uchaguz ujao ccm itakapomuweka mkatolik sijui watakua chama gani na nani atakuwa chaguo la mungu kati ya Dr.SILAHA na huyu...
Ingawa kila mtu ana uhuru wa
kutoa maoni yake lakini kufikiri kabla ya kutoa maoni ni jambo la busara.Kutotoa zawadi kwenye MICHEZO ndio mtu aporomoke cheo chake?Hebu niambie Mhe.ulimuona mkuu wilaya gan anamsafara?ameingia bungeni kama kiongoz wa juu ktk ufunguz wa bunge?amehudhuria sherehe...
mara baada ya makubaliano ya viongoz wawili wapenda aman na hatimaye kuundwa kwa serikal ya umoja wa kitaifa na wazanzibar kuwa kitu kimoja nilijua watatokea mashetwan rajim wafitin kutaka kuwagawa wazanzibar hebu achana iblis zenu!Mnapenda waendelee kuuana bt mi sishangai sana kwan weng...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.