1. Jamaa wa skinny ? - Hii ni grave mistake ya Boys2Men wangetanguliza maslahi ya nchi haya yasingetoa.
2. Mothertounge hawajui - Shukrani kwa IDed them.
3. Slim thug has us by the ball - Hii ni grave mistake ya Boys2Men wangetanguliza maslahi ya nchi haya yasingetoa.
4. Sayyid Ali Bin Hamud...
Haya majangili nadhani yanajulikana kabisa, sema kila kundi linawatumia kwa maslahi yao pale wanapohitaji. Huenda hata yule ndugu tuliyenaye hapa Nairobi alipigwa shaba na hawa hawa majangili
Can confrontation and violence be avoided on Tanzania’s “Day of Defiance”?
Can confrontation and violence be avoided on Tanzania’s “Day of Defiance”?
Tensions are rising ahead of this Thursday’s opposition protests against President Magufuli’s “dictatorial” leadership. There will be a solar...
Ni askari kichaa tuu atatumia hii fursa kukandamiza raia, lakini mwenye akili atajitahidi kuwa fair katika kazi zake.
Huu ni mtego mkubwa sana kwa askari wenyewe, wanawezapoteza vyeo vyao kirahisi sana kama watatumia hii kitu kama rungu la kukandamiza raia.
Kumbuka Mahiga siyo mtu mdogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.