Petrol stations nyingi zinazomilikiwa na wazawa hawazingatii matakwa ya kusafisha matank kila baada ya kipindi fulani.Zoezi hili ni gharama na wanalikwepa tofauti na vituo vya mafuta vinavyomilikiwa na kampuni za kimataifa daima hufuata viwango bila kujali gharama zake.
Nina tatizo sehemu ya biashara,mpangaji wangu wa saloon akitumia hand drier meter inakata umeme,hiyo drier ina 1600 W na current ni 16amp.Tanesco wamemwambia asitumie.Hivi hakuna solution nyingine mbadala? Meter
Tunashukuru kwa salaam ya sherehe za mwisho wa mwaka.
Ombi langu ni moja tuu kwa wale wanaotoa breaking news, waonyeshe umaturity zaidi mwaka ujao. Usilete habari bila source na hasa kama issue ni sensitive, ikibidi moderators muiondoe faster kabla ya sumu kusambaa.
Usafiri wa ndege ni salama sana kuliko aina nyingine za usafiri,wengi wameongelea turbulence na wengi nimeona hapa bongo wanaogopa sana hivi vi turbulent vidogo vidogo.Kiufupi turbulent hazi crash ndege kiurahisi tena siku hizo, kutokana na technolojia.Kuna turbulent kubwa jamani,watu wanarushwa...
Kawaida gas ya kupikia ya LPG hukaa kwenye mtungi ktk hali ya kimiminika yaani liquid form na pale unaporuhusu kutoka ndani ya mtungi kupitia ole koki au kwa kizungu regulator kile kimiminjka hubadilika na kuwa gas ambayo hupita kwenye mpira hadi ndani ya jiko lako.Majiko mengi ya gas hasa yale...
Useful topic,
La kuongeza ni kubadilisha air cleaner mara kwa mara,kupenda kutumia multgrade oils,kwa wale wanaotumia magari ya petrol yenye distributors wanashauliwa kubadilisha zile waya zinazopeleka umeme kwenye spark plugs baada ya kipindi fulani kwani husababisha plugs zisiwe na ufanisi...
Taarifa za awali kuhusu waanga wa hii ajali ni kwamba dereva wa Lori aina ya fuso kvunjika miguu na Hali yake si nzuri sana,yupo hospitali.Msaidizi wake ana majeraha si makubwa sana. Wale wa malori yaliyobeba makontainer wote wamenusulika.
Ajali mbaya za malori 3 ya mizigo Arusha imesababisha barabara kufungwa na hakuna uwezekano wa kuyatoa hayo magari mapema.
Inasemekana truck moja ilifeli brake na ndipo ilipojaribu kulipia Lori jingine na kujikuta likigongana uso kwa uso na Lori aina ya fuso lililobeba machungwa kuelekea...
Chadema sio riziki inapaswa kuoverhaul uongozi wake na kubadili strategies ili iendelee kupata popularity, nje ya hapo tegemea timu ndogo zaidi bunge lijalo.
Yawezekana ni Pilot error hasa wakati wa kutua,mfano endapo hakuibalace ndege na akagusa ardhi na tyre 2 badala ya nne za nyuma,impact ya load balancing itajionyesha pale pale.Muhimu ni uchunguzi makini kwa ajili ya kunusuru safari zijazo.
Ningefurahi mambo mawili yafuatayo ameyakamilisha kabla ya 2015.
1.Train inachukuwa mzigo wote wa bandari ya Dar na kuhamishia Chalinze,msururu wa malori usionekane tena mjini.
2.DSM tunapata maji ya uhakika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.