Kumekuwa na huu mchezo wa Tanesco toka majuzi wa umeme kukatika na kuwaka baada ya dakika 4 au 5 hivi, then baada ya masaa 2 au 3 unafanya hivyo, nikihesabu toka ulipoanza mpaka hapa ninapoandika nadhani hii ni mara ya 15, ukiondoa usiku mkubwa ninapokuwa nimelala, mkiendelea hivi mtatuinguzia...
Jana nimepita hapo, naona wameweka vibao ya 50 speedunapoingia ranch na kingime unakikuta unapotoka ranch, sina uhakika ni km ngapi, lakini nadhani ni zaidi ya 20km pale, na katikati huku kuna traffic wamejificha mahali.
Natatiziko na hivyo vibao 50km/h iweje kuwe na 50 day and night kwenye...
Kumekuwa na hii shida siku za hivi karibuni kwa wastaafu, hasa ambao tayari wameshalipwa mafao yao, wanaofuatilia mapunjo hasa kwa mkoa wa Morogoro.
Hawa matapeli wanakuwa na details zote za mstaafu kuanzia mshahara wake wa mwisho, check namba yake, namba yake ya simu, kiasi cha mafao...
Hii sijui ni kwangu au na kwa wengine pia, sielewi airtel waseti vipi mitqmbo yqo kila siku saa 7 usiku lqImq nipqte meseji ya bando kuisha, "You have finished your data bundle, you will not be able to browse using airtime, please dial *149*99#, select 5 to subscribe or proceed using airtime."...
Habari wana jamvi
Nimekumbana na hii kitu mara mbili, jana mara baada ya kuto cha tra cha misugusugu kuna vibao vilikuwepo zamani ya kumaliza hamsini, halafu mbele kidogo cha kuanza 50, sasa kile cha kumaliza hamsini hakipo, kimebaki cha kuanza 50, so nikapigwa tochi kabla ya kile kibao cha...
Habari wanajamvi,
Wakuu nisaidie jinsi ya kulipa hizi faini za.mashine tunazopewa barabarani na trafic, nina kijikaratasi hapa cha fine ila nashindwa kulipa
Msaada please
Habari wana bodi.
Kirushi changu cha azamu kimeisha ila naona kuna channel moja ya tbc1 tu, hivi hili agizo la juzi lililotolewa pale TCRA lilikuwa geresha, au?
Hivi katika sheria za barabarani hakuna kibao kinachoonyesha hapa ni makaxi ya watu, maana hii kauli imekuwa kero kwa madereva, mtu barabara hata hujawahi kupita, trafic wanajificha mahali, hakuna kibao cha 50km/h lakini wakikusimamisha utasikia wanakuambia umeoverspped hapa ni makaxi ya watu...
Za uck huu wana jamvi, nina demu wangu yaani haniamini, hapa tunagombana kishenzi, katoa namba yangu ya simu kwa bwanake anayesema wameachana ili anifuatilie eti kama nina michepuko. Yaani nimeshindwa kumsoma kabisa huyu demu na tumegombana sana.
Hivi hii ni sawa wanajamvi, nataka kumtosa, ushauri
Wanajamvi za asubuhi
Naomba niende kwenye mada yangu moja kwa moja, nina demu niko naye miezi saba sasa, mm nakaa dar na yeye kwao ni dar ila kikazi yuko morogoro mjini, ni mwalimu wa primary.
Toka tuwe kwenye mahusiano huwa muda wote tuaonana akija dar tu, ila huwa hapendi niende moro...
Mimi ni mwaname mwenye umri wa miaka 45, divorced, mtoto mmoja, mkristo, natafuta mwanamke mwebye umri kuanzia miaka 27 mpaka 40, mwenye sifa zifuatazo:
Mkristo, ila asiwe mlokole
Elimu kuanzia form 4
Awe na kazi au taaluma yeyote
Asiwe na mtoto
Awe tayari kuishi sehemu yeyote tanzania
Aliye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.