Hapana mkuu hawa si km askari wa JWTZ au JKT(VIJANA WAKUJITOLEA AU WA KWA MUJIBU WA SHERIA)hawa nia askari waliokwisha shiriki mafuzo ya JKT wakaajiriwa na JKT SUMA GUARD,hvyo sidhani km wana haki ya kutolipa nauli wanajifananisha na kipindi wakiwa km wapo JKT kumbe walishatoka huko na ss wapo...
Mkuu hii kitu angetoke msomi wa kitambo hcho wa kwenda na wakati utandawazi angeokoa kizaz cha tom and jerry,kungekuwapo na katuni za kina Juma na Rosa ila ss ndyo hvyo hahahaaa
Kwa hyo mkuu udukuzi ni mbaya?,hv unajua kuwa ni fani za watu hzo so km ww halikuhusu hili somo unatakiwa ukaushie tu kuna mengi sn humu ya kuyajadili jf ni uwanja mpana hvyo unaloona halikuhusu pita kushoto mkuu c lzm kila kitu uchangie
Huu ndiyo mwaka nilioanza kuifuatilia JF mkuu,nikawa najiuliza kuna nn huku kwenye huu mtandao kupelekea hawa jamaa kukamatwa,toka kipindi hicho nikawa naingia km guest maana kujiunga ilikuwa ngumu sn tofauti na ss,hv kwa nn kipindi ile ilikuwa ngumu kujiunga jf tofauti na ss mkuu?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.