Search results

  1. M

    Paypal Tanzania

    Ni kweli tuko nyuma Sana. Yaani sheria za kifedha za nchi zinaruhusu pesa kutoka nje ila pesa kuingia hazitaki. Hii kitu inawanyima fursa Sana vijana waliojiajiri kama freelancers.
  2. M

    Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

    Mbona anachokifanya Mange si kigeni, alishafanya Sana huko nyuma. https://www.jamiiforums.com/threads/mange-kimambi-anatumwa-anatumika-na-nani.1403085/
  3. M

    January Makamba anatakiwa aitwe na kuhojiwa na chama chake kuhusiani na kauli zake zinazohusu uchaguzi wa 2020

    Alichoongea makamba hakina tofauti na alichoongea balozi karume.
  4. M

    Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

    Hahaha ila watanganyika mna unafiki Sana, Leo jamaa Kawa mtu mwenye akili tena, si juzi tu mlikuwa mkitukana kuwa kilaza alipokuwa wizara ya nishati hapo.
  5. M

    Onyo la CDF: Ilikuwaje CCM ikampitisha Ssebuyoya (mrundi)anayejaza warundi nchini kuwa mwakilishi wa vijana

    Ni ujinga tu wa watanganyika kuona mrundi au mkongomani au mkenya ni adui kuliko muhindi na mchina.
  6. M

    Onyo la CDF: Ilikuwaje CCM ikampitisha Ssebuyoya (mrundi)anayejaza warundi nchini kuwa mwakilishi wa vijana

    Alafu hii kitu inashangaza, hii nchi ina border nyingi tu na muingiliano wa watu. Ila watu wanaotoka kwenye mipaka ya kigoma na kagera ndiyo wanaonekana wakimbizi, wanaonekana siyo raia. Kuna watu wanaotoka Malawi wako mbeya hawazungumzwi, Kuna watu wanaotoka msumbiji wako mtwara hawazungumzwi...
  7. M

    Pamoja na mapungufu ya kibinadamu Makonda ana Uwezo mkubwa wa Uongozi, Shida zilizowashinda Mawaziri sasa kutatuliwa na Rais mwenyewe!

    Yaan mkuu tatizo la plot moja kuuzwa kwa watu watatu Hilo nalo linahitaji kutatuliwa na Raisi ? Sasa Kama waziri au mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya wameshindwa kutatua hizo shida, wanaendelea kuwa viongozi kwasababu zipi Sasa?
  8. M

    Hivi watu weusi duniani kote tuna matatizo? Haiti ina miaka zaidi ya 200 ya uhuru lakini maendeleo haifikii South Korea

    Alafu hivi vitu vinaonekana Kama vipo kwenye DNA ya mwafrika. Kwa tabia hizi, nchi za Afrika kamwe hazitakuja kupata viongozi walio bora na maendeleo endelevu iwe chini ya mfumo wa vyama vingi au chama kimoja.
  9. M

    Kwenye Sekta ya Afya Rais Dr. Hussein Mwinyi amefanya Mageuzi, tumpe maua yake

    Wanakwambia siyo mzanzibar. Sasa sijui hao wazanzibar waliopita hapo waliifanya Zanzibar kuwa heaven.
  10. M

    Wazo lenye akili: Bashe ajiuzuru ni kwa kuendesha ofisi ya umma kwa misingi ya dini

    Hivi kumbe tatizo la ukosefu wa sukari linawaathiri waislamu tu? Kweli kwa akili hizi CCM itatawala maisha.
  11. M

    Safari za Rais Samia nje ya nchi

    Madam akika mpaka 2030 huenda akatumia Trillion 10 kwa safari tu.
  12. M

    Ni dhahiri CCM na Serikali yake wameshindwa kuongoza nchi. Taifa letu limegeuka "A Failed State"

    Sijui Madam President anawaza nini kichwani mwake. Yaani Yuko serious kweli kugombea tena 2025?????
  13. M

    Tanzania katika mtanziko; Hakuna umeme, sukari wala dola. Serikali inachukua hatua gani?

    Nadhani hayo matatizo ndiyo yanamfanya Mama asafiri Sana, maana akibaki ndani humu mtapigia kelele.
  14. M

    Funzo kwenye mazishi ya Lowassa, andika historia yako mwenyewe usisubiri kuandikiwa, na mwisho wa ubaya ni aibu

    Hahahaha, mkuu umewaza Kama nilivyokuwa nawaza. Nadhani kutoka 2005 kwenda 2015 ndiyo ulikuwa wakati sahihi wa Lowasa kugombea uraisi kwakuwa alikuwa Yuko strong Sana na hata kuzungumza alikuwa anazungumza vizuri. Inawezekana labda walikubaliana na mkwele agombee mkwele then after 10 years...
  15. M

    Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini, kuwasaka Wavuta Shisha kila sehemu

    Hahahaha atakuwa yeye, maana hiyo mitaa ya Boko na Tegeta ndiyo chochi zake hizo.
  16. M

    Mabwawa yamejaa na umeme hakuna, TANESCO wako kimya, tunafeli wapi?

    Hapo kwenye kura 500 wakulungwa wataongeza "0000". Then machawa watakwambia mama ashinda kwa kishindo
  17. M

    Ni kwanini waislam wanazipenda sana China na Russia kuliko USA

    Hii policy Safi Sana hii, ingetumika Afrika huku, maana Kuna nyumbu nyingi zinawaza dini tu kuliko chochote. Yaani mwafrika anaona muisrael au mwarabu ndugu yake kuliko mwafrika mwenzake kwasababu ya tofauti ya Imani tu, stupid Africans.
  18. M

    Serikali inakalia kimya matukio ya Watu kutekwa na kuuawa? Utawala uliopita mambo yalianza hivi hivi

    Tafsiri ya mtu katika nchi hii ni mwanasiasa na mwandishi wa habari. Hao wanaotekwa na kuuwawa si wanasiasa wala waandishi wa habari, that's why watu wanatake easy tu kwakuwa wanaotekwa na kuuwawa ni raia wa kawaida tu. Ila ingekuwa ni wanasiasa au waandishi ungeona hata kituo Cha haki za...
Back
Top Bottom