Search results

  1. Researcher

    Semina za nje ya nchi : Motisha kwa watumishi wa umma au uharibifu wa kodi zetu?

    Barua pepe kama hii hapa chini huwa nazipata nyingi sana kama spams. Ila inmegundua pia kwamba watumishi wengi wa umma wanashiriki hizi semina na zinga gharama kubwa kuanzia ada mpaka gharama za malazi. Je semina hizi huwa zina tija kwa taifa letu au ni namna tu ya kuzipa pengo la mishahara...
  2. Researcher

    Waalimu wengi wa sekondari za serikali wana ajira zaidi ya moja

    Pamoja na kwamba haujakuwepo utafiti wa kina katika hili, nimejiridhisha kwamba hili limeanza kuwa tatizo sugu na kuna sababu ya kuliangalia swala hili kwa kina ili kunusuru elimu yetu. Pengine kutokana na ufinyu wa kipato na mfumo duni wa ukaguzi, waalimu wengi haswa wale ambao ni degree...
  3. Researcher

    Udhibiti wa sekta ya mawasiliano Tanzania, Je serikali kuu ipewe nafasi gani?

    Nimekuwa nikijaribu kufuatili mwenendo wa udhibiti wa sekta ya mawasiliano nchini. Tulianza na mfumo wa usajili wa namba za simu lengo likiwa ni kuimarisha usalama na kudhibiti ugaidi. Sina hakika kwamba hii ilikuwa sababu kuu au ni mapokeo tu ya miongozo ya ITU. Hili kama lile la digitali...
  4. Researcher

    Wawekezaji toka china

    Kuna vita nzito ya kipropaganda inayoendelea baina ya hawa Jamaa wa mashariki ya mbali na wale wa magharibi. Ni ukweli usiofichika kwamba uchumi wao unakuwa kwa kasi ya ajabu na hivyo kuwa tishio kwa ulaya na marekani.. Si kusudii kujadili hilo. Ila nimeguswa na uhusiano kati ya nchi yetu na...
  5. Researcher

    Kumi bora ya matatizo ya Tanzania

    Ndugu zangu wanajamvi. Leo nimeguswa kutoa mawazo yangu juu ya mijadala mingi kuhusu kiini cha matatizo ya watanzania. Yamesemwa mengi na pengine si vibaya nikayarudia kumi bora kati ya yale yaliyonigusa zaidi. Kukithiri kwa rushwa kiasi cha kupoteza usawa na haki katika utoaji wa huduma...
  6. Researcher

    Bodi za wakurugenzi, Ulaji au utendaji?

    Wadau nimekua nikijiuliza mara nyingi umuhimu wa hizi bodi za taasisi zetu za umma. Ni dhahiri kwamba bodi zinapaswa kuwa na wataalam wa kuzishauri na kuzipa mwongozo taasisi zetu Hata hivyo napata shaka pale mtu mmoja anapokua mjumbe wa bodi zaidi ya nne, Hivi huwa wanakaa na kuandika mambo...
  7. Researcher

    After years of observing....

    Naamini nimeiva kiasi cha kutosha kuchangia jamvini. Naamini kwa namna moja au nyingine nitashiriki kuijenga nchi yetu niipendayo.WanaJF naomba ushirikiano wenu.
Back
Top Bottom