Katika kile kinachodaiwa kuwa ndicho kinachotakiwa na Serikali kufanyika, Chama Cha Tanzania Red Cross tawi la Kiteto, kimewafikia wananchi wilayani humo ambao ni walengwa, vijiji vya Ndaleta, Olpopong, Ndedo, Makame na kuwajengea uwezo wa kutambua fursa zilizowazunguka, kuzitumia na kuzilinda.
Kwa miaka minne mfulululizo 2019 wilaya ya Kiteto mkoani Manyara imetajwa kupata hati safi, hili limemfurahisha Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe Alexander Mnyeti kusema linafanya apate usingizi
Katika hatua hiyo Mnyeti amesema hatua hiyo inaashiria kuwa kazi inayofanywa na watumishi wa Serikali ni...
Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi Mh. David Mathayo ametoa vifaa vya kunawia mikono katika maeneo yenye watu wengi ili kupunguza maambukizi ya virusi vya corona kwa wananchi Wilayani Same.
[emoji1428]Akipokea vifaa hivyo DC Same amewataka wananchi kufuata maelekezo ya serikali juu ya kujikinga...
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kiteto, Tamimu Kambona, amedhamiria kufunga kamera maalumu maeneo ya hospitali ya wilaya ya Kiteto ili kudhibiti mapato yake ambayo yanayoendelea kupotea (Chanzo kikao cha Bodi ya Afya)
Kwa kuhujumiwa na watumishi wasio waadilifu.
Sent using...
Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Kiteto mkoani Manyara, limepitisha rasimu ya bajeti ya bil 25,197,685,726.75 kwa mwaka 2020/2021.
Maeneo ya vipaumbele ni kuboresha ukusanyaji wa mapato, kutenga 10% za vijana akinamama na walemavu, kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula na mifugo...
Msamaha wa Rais JPM kwà wafungwa, Kiteto waachiwa 21, wamshukuru Rais, waahidi kuwa watu wema
DC Kiteto awataka wawe waadilifu akisema ndani ya miaka 4 Kiteto ni shwari wasiwe chanzo cha uvunjifu wa Àmani
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika kikao cha ushauri cha mkoa wa Manyara RCC, Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti, aliagiza pasiwepo na vyama vya wachaga na makabila mengine ambavyo havitokani na makabila asili ya mkoa huo wa Manyara.
Hatua hiyo imetokana na madai ya kuwepo kwa dalili za ukabila unaofanyika mkoani...
Kinnapa ni Shirika lisilo la Kiserikali ambalo makao makuu yake yako Wilaya Kiteto mkoani Manyara. Shirika linafanya kazi ya ushawishi na utetezi, na pia linachangia upatikanaji wa huduma za jamii kama vile maji, elimu, matumizi bora ya ardhi nk
Shirika linapata viongozi wake kila baada ya...
Hafla ilifanyikia Ikulu ya Chamwino leo tarehe 24/11/2019.
Mhe Rais Daktari John Pombe Magufuli akiwa na kamati ya Uwekezaji mitaji ya Umma, (PIC) Inayosimamia mashirika na wakala wa serikali 266.
Leo mashirika 79 yametoa gawio na Michango ya Trilioni 1.005 kwa Serikali kupitia kwa Rais Dr...
Kwa miaka kadhaa mauaji Kiteto yalianza kusahaulia, awali watu waliuana, ukiuliza sababu ya msingi ni kugombea ardhi. Baada ya kuingia utawala ya JPM mabadiliko makubwa yalifanyika kisha wananchi waliweza kuishi salama.
Sasa jinamizi kama alivyosema Mkuu wa Wilaya ya Kiteto TIMAINI MAGESSA...
Akiwa kwenye kikao cha baraza la madiwani, Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, Tamimu Kambona, alisema Kampuni ya Jatu imepiga hodi Kiteto
Amesema pamoja na mambo mengine inataka kufanya uwekezaji wa thamani ya bill 7.5 katika kilimo cha umwagiliaji
Pale wanavyodai watakuwa...
Huwa najiuliza kwa sauti, hivi mfuko wa Jimbo nani anakuwa nao, wanapotaka ufanye kazi, nani anasema nini ili wananchi waweze kujua kuwa wameungwa mkono miradi yao na mfuko wa jimbo?
Maswali haya yatabaki kama yalivyo ila sasa nisemee kijisehemu tu hapa, kumbe unapoutumika visivyo, hatua...
MKUU wa Kituo cha Polisi Kiteto, Patrick Kimaro (Sabasita) ametaja sababu 3 migogoro ya ardhi Kiteto kuendelea kushamiri
1. Eneo moja la ardhi kugawanywa kwa zaidi ya mtu mmoja
2. Baadhi ya viongozi wa Serikali za vijiji kutoyaishi maamuzi ya viongozi walio maliza muda wao, kubadilisha mipango...
Baada ya msuguano wa muda mrefu wa wakulima na wafugaji wilayani Kiteto Mkoani Manyara, kugombea ardhi kwaajili ya shughuli za kilimo wameamua kuanzisha jukwaa la wakulima na wafugaji.
Jukwaa hili litatumika kama chombo kitakachopunguza migogoro hiyo kwa kutumia uzoefu wa majukwaa mengine hapa...
The Kiteto District Commissioner, Hon. Tumaini Magesa launched Interactive Radio Programs that focus on the delivery of Climate & Weather Information to farmers and pastoralists in Kiteto district, Manyara region in Tanzania.
The planning and design of the Interactive Radio Programs has been...
Hakika nimefuatilia Asasi ya ECLAT Foundation, yenye makao yake makuu Kijiji cha Emboreti nimebaini mambo kadhaa na ina msaada kwa wananchi
Kwa sekta ya elimu, nimeshughudia ukarabati na kujenga miundombinu ya elimu maeneo tofauti nchini ambapo zimekaribia kufikia shule 20 zinakabidhiwa...
Mtumishi na wakala wa misitu Tanzania TFS Bonaventure Mosha (54) amenusurika kifo baada ya kushambuliwa na wananchi wa Kijiji cha Njoge Wilaya ya Kongwa kwa madai ya kuwazuia wasifanye shughuli za kilimo na ufugaji kwenye hifadhi ya mlima Njoge.
Mkuu wa mkoa wa Mayara, Alexander Mnyeti, ameonyesha kuridhishwa na kazi anazofanya Mkurugenzi mtendaji wa Halm ya Kiteto TAMIMU KAMBONA, kuhusu kusimamia na utekelezaji miradi ya ujenzi, maendeleo ya wananchi.
Amesema miradi inayotekelezwa Kiteto ya ujenzi imekuwa mfano kwa halm za mkoa wa...
Zaidi ya miaka 20, Wilaya ya Simanjiro, Mkoani Manyara, haikuwa na Hospitali ya Wilaya.
Hii iliwapa shida wananchi na kuiomba Serikali kupunguza makali ya maisha yao kwa kuwasogezea Huduma hiyo karibu
Huduma ya afya mbali na kutolewa kwenye vituo vya Afya na Zahanati, wananchi hao wanalazimika...
Tanzania imetajwa kuwa na madini ya kila aina, madini hayo yametajwa kuwa ya thamani kubwa hali inayofanya wengi wao kujihusisha na kazi hiyo.
Serikali kwa kuona hayo imekuwa karibu na wananchi kwa kufuatilia nyendo na taratibu zao katika kazi hiyo.
Madini ya dhahabu yanayochimbwa mlima wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.