Search results

  1. LadyAJ

    Baadhi ya walimu wa shule za msingi ni "Semi-literate"?

    Tunaokosa umakini ni sisi wazazi,kama mzazi ni mfuatiliaji sana wa mtoto wake basi nila mwaka kati ya mwezi wa kwanza hadi wa tatu NECTA hufungua dirisha la kurekebisha herufi au jina la mtoto ENDAPO limekosewa au unataka kubadili lote kwa wanafunzi wa darasa la kwanza hadi la 4 kabla...
  2. LadyAJ

    Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

    Una uhakika kwamba single mothers wote waliotelekezwa na watoto ni waovu ? Hivi unajua kua kuna wanawake wanaishi kwenye ndoa lakini ni single mothers by needs
  3. LadyAJ

    Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

    Mind set za wanaume wa Kiafrika hufikiri Mimba ni kosa la Mwanamke na sio mimba tu hata kuzaa watoto wa kike hudhaniwa kua ni makosa ya mwanamke ,baki hapo hapo Bro
  4. LadyAJ

    Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

    Kulea mtoto sio pesa tu ndugu yangu,mimi nazungumzia ushiriki wa wazaz katika malezi ya watoto Pesa ni ziada sana katika Malezi , hata ukilea baba bado mama atahitajika katika malezi mema ya mtoto,ni ustawi mzuri wa mtoto anapomuona baba na mama katika malezi yake hata kama ikiwa sio siku zote...
  5. LadyAJ

    Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

    Yes ,mfumo dume Mfumo uliopo haumuwajibishi mwanaume katika malezi ,malezi yanaonekana kua ni masuala ya wanawake na ndio maana sio ajabu hata wanawake wenye ndoa huwajibishwa kufanya majukumu ya malezi ya kuhakikisha watoto wanapata mahitaji ingawaje baba zao wapo humo humo na hawawajibiki.
  6. LadyAJ

    Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

    Hapa hatuzungumzii mimba ya kutaka au kuto kutaka ,ili mradi tu umeshakua mzazi unatakiwa kuchukua majukumu yako Hivi nchi kama za Ulaya kwani hayapo hayo unayoyasema?mbona wenzetu wanabanwa na sheria kali za malezi na mimba huwa haionekani kama ni makosa ya mwanamke pekee? Ni sisi tu Afrika...
  7. LadyAJ

    Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

    Inaonekana Afrika ni kama vile ndipo mahali palipo zaliwa zinaa ,dhulma na ujinga Na kwa kua viongozi wetu pia ni wahanga wa hayo yote basi tumejikuta hatuwezi hata kutunga sheria kali za kuwawajibisha wazazi wanaokimbia wajibu wao kwa sababu dhaifu dhaifu sana , Hili tatizo la kutelekeza...
  8. LadyAJ

    Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

    Kwamba mwanamke utakapovaa Condom atakukaba uivue ili yeye apate mimba , Hii ipo Afrika tu,kwamba kupatikana kwa mimba huwa ni makosa ya mwanamke,mwanaume hana cha kuwajibika kwenye hilo na ndio maana hatuna sheria kali za kuwabana wanao kimbia majukumu kwa sababu inaonekana sio makosa yenu...
  9. LadyAJ

    Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

    Unategewaje mimba ikiwa wewe mwanaume utavaa condom yako safi ,only in Africa ambapo huonekana kupatikana kwa mtoto hata kwa jinsi msiyo ihitaji huwa ni makosa ya mwanamke
  10. LadyAJ

    Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

    Vaa kondom, hakuna mimba inayo tegeshwa
  11. LadyAJ

    Waraka kwa Rais Samia kuhusu vilio vyetu sisi Wahandisi tulioajiriwa kama Walimu

    Anapandaje daraja ikiwa hajathibitishwa kazini lakini pia TSC mpandisha madaraja hamtambui
  12. LadyAJ

    Napata Mshahara wa laki 3, nataka niache kazi nikajiajiri

    Na kuna watu wanapata 5000 na maisha yanaenda,usidharau pesa
  13. LadyAJ

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Ndiyo ninayo itumia kiongozi, mita ndefu yenye kutumia remote, inanipa changamoto sana Sent from my ANE-LX2 using JamiiForums mobile app
  14. LadyAJ

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naombeni msaada wa mawazo Nyumbani kwangu umeme unakata kwa muda lakini kwa majirani upo Yaani inatokea hivyo mara nyingi na Luku huwa nakua nayo
  15. LadyAJ

    Kuwabagua waliosoma private mikopo elimu ya juu kunaenda kuigharimu Serikali

    Utanzania ni kigezo pekee sio hayo mengine yaliyojaa ujinga, na sababu Tanzania wajinga ni wengi ndio maana tunaona sawa tu, mikopo sio hisani au msaada mikopo ni kodi zetu na inarudishwa
  16. LadyAJ

    Kuwabagua waliosoma private mikopo elimu ya juu kunaenda kuigharimu Serikali

    Mtu mzima halazimishwi, huwa ana amua Maamuzi ya mwenzio kumpeleka mtoto private yasiwe kigezo cha kumuona ana uwezo hivyo hastahili kupewa keki ya mkopo kijana wake anapokwenda chuo kikuu
  17. LadyAJ

    Kuwabagua waliosoma private mikopo elimu ya juu kunaenda kuigharimu Serikali

    Watu masikini tuna choyo sana, yaani kusomesha mtoto private unaonekana tajiri mwenye uwezo na ni anasa, inashangaza sana Wakati huo huo mtu anasomesha mtoto kayumba lakini anakula bata za 40 kwa siku fedha ambayo mtu anaesomesha private anaidunduliza ili amlipie mwanae ada
  18. LadyAJ

    Oneni hii salary slip ya mwalimu, ni aibu

    NIC ni bima ambayo mtu anajiunga kwa hiari yake pasipo kulazimishwa na Mtu Lakini ukiwaukiza walimu wengi namna watakavyo faidika na hiyo bima hawana majibu
  19. LadyAJ

    Oneni hii salary slip ya mwalimu, ni aibu

    Sioni kosa la huyo mwalimu hadi kumtukana, maana hapo mkopo ni mmoja tu ambao watumishi karibu wote wa serikali huwa wanakopa, makato mengine ni ya lazima kama income tax, nhif na cwt, Kwa suala la NIC Kwakweli walimu wengi walijiunga wakiwa hawana uelwa wa hiyo kitu
  20. LadyAJ

    Tuzungumzie Tabia ya wake zetu kuhamia kimya kimya nyumba haijaisha

    Chelewa chelewa utamkuta mwana si wako Huyo mama amesadifu msemo huo, hofu yetu wamama mtu unajinyima unajenga na mumeo mwisho wa siku nyumba inaisha mumeo anaenda kumuweka mchepuko Huyo mama kawahi mapema kabla haijaisha kujihakikishia usalama[emoji3]
Back
Top Bottom