Kwako Commissioner Simon Sirro,
Siku za karibuni kumeshamiri matukio ya Wahalifu kuvamia Makazi ya watu katika kata ya Goba, watu wanaibiwa Mali zao, watu wanajeruhiwa na kuumizwa, Wanaume wanadhalilishwa mbele ya wake zao na wakati Mwingine mbele za watoto wao, watu wanapata usumbufu Mkubwa...
Wakuu JF nawasalimu Sana kutoka Malinyi.
Nimeamua kutumia Forum hii (Popular Jukwaa la Siasa) kuongea na Body ya kusajili Wahandisi Tanzania (Engineer's Registration Board, ERB)
Kumekuwa na a very huge Influx ya The so called Engineers kutoka Nje ya Nchi (Hasa hasa Kenya,China na India) kuja...
Wakuu JF Amani iwe nanyi.
Katika muendelezo wa Baadhi ya wana CCM kuhakikisha Wa Tanzania tuna Suffer katika nchi yetu.
CCM Morogoro wamekubaliana na kitendo cha kuwatoza wazazi shilingi 50,000 za Ki Tanzania kama ada ya kuandikisha mtoto Mmoja Darasa la Kwanza.
Katika kile kilichoonekana kama...
Just a quote from Uchaguzi wa Kamati za Bunge:Vita Lowassa,Membe yakolezwa - Kitaifa - mwananchi.co.tz
So hiyo Vita imekolezwa na Edo kachaguliwa kuwa Chair Wa Kamati ya Bunge kwenye Wizara ionayoongozwa na Membe??
Kama hawa Jamaa wanajua kuwa kuna vita kati ya Membe na Edo, Mbona hawajawahi...
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa amezungumzia video aliyorekodiwa Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama hicho, Wilfred Lwakatare na kusema ni ya kutungwa na vyombo vya dola.
Dk. Slaa pia amelituhumu Jeshi la Polisi kufanya mchezo mchafu kwa...
Iko kwenye ubora wa hali ya Juu,
running with android GINGERBREAD, only for 400,000 TZS
If uoy are interested please PM for further communications and discussion
Wakuu,
Hawa jamaa wa Mwananchi "wanaingiliwa" nini???
Hebu oneni
Jaman Juliana keshavuliwa hiyo title na Uanachama as well.
Sasa huko kulipuana CHADEMA ni kati ya nani na nani?????
Atapambania wapi sasa??? Mahakamani???, Kigoma ?????mbona hayuko specific!!!
Ushauri kwa Juliana Shonza
Ni...
Guys,
Sometimes unapofungua google, unaweza ukakutana na hii message
404 not found, this is only kwa Gooogle tu while other sites zinafunguka fresh including Jamiifroums.
This is the solution
d 7:
Click Start and type cmd in the search field
Right clicSometimes, the Google...
If commuters surplus body heat can be used to keep an office building warm, then why not store the heat that beats down on bike paths during the summer and use it to keep them ice-free in the winter months? That, indeed, is precisely the premise behind a test project currently being...
Wanabodi,
Leo usiku wa Tarehe 31/12/2012 mitambo ya Kizamani ya Analojia itazimwa (Hii ina akisi kuwa, CCM itazikwa rasmi kwenye Mioyo ya Wa Tanzania)
Mitambo mipya ya Digitali itawashwa (CHADEMA italipua Mlipuko Mpya wa Matumani kwenye Mioyo ya Wa Tanzania Walio Lala)
Ritz , Rejao , TUNTEMEKE...
Wana Bodi,
Kila Mara nimekuwa nikijuliza hivi CCM suala la Demokrasia wanamhubiria nani ilhal wao wenyewe hata Maana ya hilo Neno hawaijui na wala hawajui kuishi katika hilo.
Kwenye maandalizi ya Uchaguzi wao wa Mwenyekiti kwanza sijasikia ni lini fomu za kuwania nafasi hiyo zilitangazwa kuanza...
Angalia wanavyojichanganya.
Mkuu wa Mkoa: Marehemu alikutwa na umaut alipokuwa anamrudisha Ndugu yake (Na sio Dadaake kama Mwema alivyokurupuka) Home kutoka Harusin (Na sio Kikao Cha Harusi) Akitumia Gari aina ya Toyota Hilux (Na sio RAV4)
Akaenda Mbali zaid, wakatokea watu 6 wakazingira...
This Man is Intelligent and Brave, Am proud of this Man rather than Mkwe.re.
Africa Needs this Man much more than we think
Hebu pitia speech yake hapa
Exclusive: Kagame
PS
You will be an Idito of the Year if you will Jump and comment onto this Thread unless you have carefully Passed through it
Ni Mwezi wa 4 sasa tangu huyu Binti atu join hapa kwetu, mwanzoni siku note but as days goes on, Huyu Bint anazid ku change na kutamanisha, sio mimi tu bali hata washakj wanaonitembelea hawaachi kumwaga comments zao.
Nina kama week sasa nafunga na kuomba Mungu aniepushe na shetani Muovu ambaye...
Wakuu,
Hebu na tu shee Experience zenu especialy nyie wenye wake wanaofanya Kazi namna Pato linavyokuwa Distributed Home.
Nataka ku Draw Bonge moja la Conclusion hapa Kwangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.