TZ ndiyo rais wa 5 USA 46 tuna mambo mengi yakufanywe kabla kujiringanisha nao,ukifatiria marekakini na inchi zingine za ulaya kipindi wanajenga inchi zao walikua wanamatukio yakutisha & nayakibaguzi mfano masikin,mtu mweusi hakuruhusiwa kuchagua wa kutoa maoni,sasa wao wa me wamekua walimu ...
Niwape pole vibaraka wote wanaojiita wanaharakati wa haki za binadamu ,kwa taarifa yao inchi yetu ipo salama na amani yakutosha kwa mwananchi anaefuata utaratibu wa sheria nawatanzania atupo tayari kujaribiwa na wapuuzi wa chache ,MUNGU IBARIKI TZ
Wapumzike kwa amani askali wetu.Najiuliza hawa tunao wasingizia wahasi NA kuendelea kupoteza RAIA na Askali UN wachunguze kwa umakini kuna watu wengine nyuma ya uasi
Hapo zamani mwanamke alikuwa akipata ujauzito kila mtu alifurahi na kupongezwa na kila mtu isipokuwa wale waliokuwa na roho za korosho.
Miaka ya sasa imekuwa tofauti mwanamke akipata mimba huenda hata aliyempa akakimbia, ikatolewa au akazaliwa na kutupwa.
Je, wazamani walikuwa washamba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.