"Dr." Bana coment zake ni za kutafuta ulaji wa kupewa vyeo vya kuteuliwa na Bwana Mkubwa JK. Imekula kwake kabisaaa. hana jipya kabisa zaid ya kuongea kisichoendana na wakati
Acha kupayuka payuka wewe. Tupongeze kitu gani hicho? hebu tuambie hicho kizuri unachokiona. lililosemwa ndo ukweli wenyewe. TV hizi hazitupatii ukweli wa mambo! ni kuonesha yale yanayovutia kwa upande mmoja tu bila kuanika ukweli wote hadharani kwa umma wa watanzania. Kama alivyosema mtoa mada...
kwa hakika mtu mdadidisi na mwenye kujua anachoshabikia akipambanua hiyo picha atabaini kuwa Robo ya watu hao ndiyo wenye sifa ya kuwa wapiga kura wa taifa hili. Wengine na wapiga kura tarajiwa kwa mwaka 2015 au 2020. Hivyo basi nii vema ushabiki ukaendana na hali halisi na mazingira yenyewe. Na...
kwa hakika umenifurahisha sana na comment yako hii. kwa wataalamu wa uchambuzi wa maandiko ya fasihi natumaini hapo wanasema Lissu kafanikiwa katika uchambuzi huu. Caren big up
Kwa hakika nilipitia kwa umakini makala ya Dilunga lakini nimeona analysis ambayo inaangalia upande mmoja tu wa shilingi! amedandia hoja ambayo haifahamu vizuri! sijui kwa dilunga tatizo la cdm kutoka nje ni nini! ni vema akatueleza kilichomkera yeye! suala ni muswada kusomwa kwa mara ya kwanza...
wenzao wa cdm wakiwa wanapekua karatasi kupata hoja makini wao wanafunua glass! sioni aliyeonesha uelewa wa muswada hata mmoja! sijui huko kwa wananchi wanaowawakilisha watawaeleza nini!!!
ha haaaa! hii ni comedy tamu sana! inaonekana kuna harufu ya uanamtandao!! tusubiri mwishi wake au utakuwa wa mbwembwe nyingiii na mwisho wake kama ule wa Richmond?
Kwa mtu ambaye hajui kazi za chama cha kisiasa ataona yanayofanywa na CHADEMA ni tishio kwa Taifa!! Kama chama kinawajibu wa kuishtua dola pale ilipolala na kutotimiza majukumu yake kwani lengo la vyote kwa pamoja is to capture state power!! Is NOT Hopeless kama unavyosema!!
Shukrani kwa taarifa! ila inaonekana vyombo vya usalama vipo kulinda maslahi ya wawekezaji na si usalama wa raia! Hii ndiyo Tanzania yetu!! Mungu Ibariki Tanzania na Watu Wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.