Nimekutana na HR amenambia leo wanafanya interview ya IT na Dealers... sasa sijui hizo nyingine, then nilienda kwa ajiri ya interview ya Cashier km ulivyoandika wewe kwenye bandiko lako nimeambiwa hakuna hiyo post kwenye tangazo... Labda niapply kwa post zingine, na hao uliowakuta wanachukua...
Nimefika ila information ulizotoa hazikuwa complete... Leo ilikuwa inafanyika interview kwa watu ya IT TECHNICIANS na DEALERS... ndiomana nilikuwa nataka contact zako ili u specify.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.