jamani TV yangu inaking'amuzi mojakwa moja Sasa naweza nunua king'amuzi kingine na ikafanya kazi, kama king'amuzi cha azam hivi ?mbona hamnijibu , au hamna ufaham Nazo????
Naheshim mawazo yako. Urais sio Upadri au Usheikh, kuwaza hivyo ni kuwa na fikra mgando, uanamke si kigezo cha kuwa au kutokuwa rais! ni kukidhi vigezo vya kikatiba na kuwa na uwezo wa kutatua kero za wananchi. Unataka kuniambia Mh.Halima Mdee hawezi kugombea urais hata kama amekidhi vigezo vya...
Ameamua kujipumzikia Makinda ,
ndani ya ccm kuna kambi tatu zenye nguvu, lakini kutokana kambi zote tatu kuwa na mabaka ya ufisadi ni vigumu kuuzika kwa wananchi. Pinda toka awali aliandaliwa kuwa Rais wa 5 wa URT , kwa nature Yake hakupaswa kuwa waziri mkuu kwa sababu si mtendaji kwa viatu...
Kama umewahi kucheza draft utajua ccm wanacheza mfumo upi, hakuna cha nchimbi, maghufuri wala lowasa, Kilichotokea kwenye kinyang'anyiro cha uspika ndani ya ccm ndicho kitakachotokea kwenye urais, Dr Migiro ndio atakayebeba bendera ya ccm
hofu inatoka wapi? asiyeijua umuhim wake anaipinga kwa hoja dhaifu kabisa, waachieni waislam wautumie Uhuru wao wa kuabudu,
yaani hilo jukwaa limedhihirisha jinsi udini ulivyojikita kwenye nyoyo zao,
Mbona hamkutoa tamko kwenye mgao wa escrow kwa kanisa, mtuambie lini mnazirudisha..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.