Kabla hatujaenda mbali tuanzie hapa-:
-Wewe unayetaka serekali ifanye kila kitu unalipa kodi kiasi gani? ( Matumizi yako kwa mwezi + na kodi unayolipa direct kutoka kwenye shughuli zaki zinazokuingizia kipato)
Ndugu yangu. Naona unahama kutoka ktk nilipo kurejea pale juu.
Itoshe kusema kwamba
1)Haitatokea upinzani ukosekane, whether nzuri au wa hovyo kwa kipimo Chalo.
2)Utatuzi wa changamoto tulizonazo kwa sasa focus ikielekezwa kwa wapinzani eti ndo zitatatuka, ni sawa na kujilisha upepo. ( Hawateui...
Rabbon, Rabbon, Rabbon!... Nimekuita mara 3. Kwa Tz wapinzani are nothing, are negligible nikwambie sasa. Bwawa si linajengwa pamoja na hayo maneno?.
Kwa mwenye dola ndo pa kuelekeza focus.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.