Hao watu tangu utotoni wanakuzwa hivyo, na mwisho wa siku nao wanaendeleza huo utamaduni. Unakuta watoto wao wanapopelekwa shule hawaendi kusoma ili waje kuajiriwa, maono yao mengi ni kupata maarifa tu ya kuendesha biashara zao na vitega uchumi mbalimbali walivyonavyo.
Ndiyo maana hata MO...
Uzalendo Installer,
Siyo kwamba tumesahau kwamba CORONA bado ipo?? Si unaona bado kwenye daladala tunakaa seat level. Mwendokasi bila Barakoa hupandi, Shule za awali na Msingi bado hazijafunguliwa.
Anyway, acha tusubiri na muda utaamua kama ni wrong timing ama vipi.
Asante sana kwa maoni yako.
Ndugu wana JF, karibu ujipatie barakoa safi kabisa kwa bei chee. Tunauza Tsh 55,000 tu kwa Box lenye barakoa 50 ndani. Ndani ya Jiji la Dar utaletewa hadi ulipo, na mikoani tutakutumia kwa njia ya Bus (Gharama ya usafiri utalipia, mara nyingi kwa Box 1 haizidi 5,000).
Karibuni sana.
Mzigo upo...
Hapa Mzee umejitambulisha tena kwa majina yako yote Matatu.
Nakushauri fanya Editing uondoe kama hupendi watu wakujue.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wewe utakuwa na undungu na kijana alikuwa anaitwa Ibrahim Mgumia (Ibra), amefariki hivi karibuni. Alikuwa mwanajeshi, lakini baadae sijui ikawaje akarudi Mboka kwao.
Dr. Kisenge, kuweka record sawa hapo juu. Huyu Daktari alikuwa na Watoto karibu wote wa Kiume ambao walisumbua sana pale...
Weka picha ya Hati tafadhali, na ikinunuliwa itakuwa imeondoa hilo deni la Bank?
Maana isije kuwa ni kuhamisha deni, ama unainunua then Bank wanakuja kuipiga mnada.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu umesema Easy University to get Admission ni Bonn University na Best Place ni Frankfurt, je Bonn ipo Frankfurt? Ama ulikuwa una maanisha nini hapa? Naomba clarification please.
Milele Amina!
Kama unaikumbuka Parokia yako uliyobatizwa basi nenda hapo ukiwa na taarifa zako sahihi kwa maana ya jina lako la Ubatizo, Jina la Baba na la Mama. Pia kama hukumbuki mwaka exactly unaweza wapa range, watacheki kwenye register na wakikupata watakupa Cheti kipya cha Ubatizo kikiwa...
Student Centre pale imelea wanafunzi wengi sana waliosoma Mboka. Pale kwangu ilikuwa kama sebuleni, tumecheza sana Table Tennis pale muda wa jioni baada ya shule.
Mimi nilifanya ila ni miaka kama 3 iliyopita nikapata pia Overall Band ya 6.5. Japo lengo ilikuwa kama lako nipate 7.0, hivyo nikaachana nayo kwanza. Huenda mwakani nikajaribu tena. Ishu kubwa ni maandalizi hasa kwenye eneo la Speaking, maana watanzania wengi hatupo fluent kwenye hiyo Lugha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.