Hii nchi ngumu sana hasa kuongoza watu wenye akili kama zako watu wasiojali ukweli wanaotafuta sababu ili kutenganisha watu..
Watatumia udini na sababu nyingi kwa manufaa yao kwa ufupi wewe ni mbinafsi usiotaka wengi wawe mbele.
Umejitahidi kuandika japo na wewe unamihemko kama huyo uliesema anamihemko.
Napinga maneno yakobkwenye maandishi haya isipokuwa ya ELIMU BULE PEKEE.
Kuhusu usanii wa neyi wewe mwenyewe umeanza kwa kusema sio msanii lkn baadae ukasema ni msanii, soma maandishi yako mwenyewe.
Kuhusu kutumika na...
Kwamba mpaka awe msemaji na sio mwana habari mwabarishaji ya kinachoendelea?
Hili nj tatizo letu kubwa "ushabiki" kilizwa kwani wewe ni mtu wa huko na unayokea wapi? Ukrein au urusi sijui utajibuje?
Kazi yetu kubwa ni kufanya analysis kulingana na ufuatiaji wetu wa taarifa na sio ukanda wala...
Tafadhari sana Kiongozi kwa heshima ya kutosha nikupayo naomba uwaombe radhi walimu wate wa Tanzania kwa kauli yako hapo juu. binafsi naona umepitiliza sana katika uhuru wako wa kutoa maoni kikatiba lakini pia unajinasibu vipi wewe ni msomi na mwerevu katika mambo mengi kama unamdharau Mwalimu...
Aisee wewe unamjua mtu anaetumia madaraka yake vema kujinufaisha?
Acha bhana huo ujasiri wa kumdogelea aisee
Hebu siku moja jaribu kumfata mtu wa juu yako kumuonya na uone kitakacho kutokea
[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
Mwamba umeandika vema.. lkn sijui kama umefanya japoutafiti?
Kwani katika maandishi uako umethibitisha zena sio manzibari? Au umembandika utanganyika?
Sehemu pekee katiba inayoruhusu ni majeshi na wewe hujaitolea mfano.
Kaka/dada.. nikuombe suala la uzanzibar na utanganyika sio mihemko tuliongee...
Mkuu ni kama umeandika ukiwa na hasira sana. Lkn kilichoandikwa ni tofauti na ulichochangia.
Mkono wa haki nao ni kisasi?
Au wewe ndio mwenye picha mbele ya hilo jarida?
Kwa kuwa umepita tu nami napita tu lakini usihukumu
Kwa maoni hayo ya Komredi Menbe "kama ni yake" Basi ameongea la ndani sana kwenye moyo wake.
Juzi juzi aliekuwa CAG alinenamazito akaishiwa kutukanwa na wazee wa mserereko.
Hata Membe ajiandae kwa matusi na kejeli kutoka kwa wazee wa Mserereko.
Jamaa umeandika kama tupo wakati wa kampeni maana katika kipindi hicho ndio mtu uongea bila hata kufikilia kama ulivyofanya wewe? Umejinasibu kumjua zzk lakini kumbe humjui hata kidogo[emoji3479] unatoa ushauri kwenye chumba tupu na sauti inakurudia mwenyewe.
Lakini labda hujaeleweka wewe...
Na mama yako ni kilaza? Au wewe mwenyewe ni kilaza? Usiwatukane walimu waliokujengea uwezo ulionao hata namna ya kufikiri na kuongea. Jenga hoja isiyo na maneno makali dhidi ya wazazi wako ndugu?
Mfano. Baada ya kuwa askali wewe unaongoza operation ya kukamata wauza gongo usiku na mchana hulali...
Hahahaha. Hahahaha sawa sawa.
Tuanze kwa kupongeza kwa wewe kuchukua muda wako na kuandika hili bandiko hili.
Kwanza kabisa yanayoendelea NCCR ni matokeo ya mbegu iliopandwa ndani ya chama hicho. Mbegu iliopandwa ndani ya chama hicho ni usaliti na kutoaminiana tokea mwanzo wa mwenyekiti wao...
Ukweli ni mchungu sana... bado sijaona uvccm wakija na kusema kuwa umechanganyikiwa na unazeeka vibaya wewe mzee.. utaambiwa pumzika ule mafao yako siasa hii haikuhusu na hujui kitu.. na bado utaambiwa unaoayuka payuka... hawachelewi watasema unaumwa ugonjwa wa akili na n.k.
Binafsi napenda...
Huu ndio ushabiki mandazi sasa[emoji1318][emoji1318] yaani watu wanajadili la maana yeye kama umbile XX anakazana kulinganisha na jambo ambalo asemi ni nani ni wapi na tukio gani ni mechi gani lkn anaona alichofanya refa katika mechi ya yanga na kwakuwa yanga baasi ni sawa.
Mpuuuuuuuzi kabisa...
Ilipaswa uwe tayari umeshambuluza mahakamani lkn pia muda haujapotea bado upepo wa heri upo kwako mpeleke.
Nakubaliana na wewe kwenye misingi ya hoja yako lkn sikuungi mkono kwenye kutafuta uungwaji mkono na watu wengine.
Unamkumbuka mchungaji mtikila? Alikuwa aombi uungwaji mkono na mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.