Plans to build a trans-African railway between the ports of Dar es Salaam in the east of the continent and Lobito in the west have been proposed by Sandri De Oliveira, Angola’s ambassador to Tanzania.
De Oliveira was speaking in Dar at an event to mark the 45th anniversary of Angola’s...
The Africa Construction Trends Report (2019) by Consultancy firm Deloitte released in January, shows that both Kenya and Tanzania recorded g 51 projects in 2019. Tanzania’s total share of projects by value is 41.2% (US$60.3bn), making it the largest contributor
towards East Africa’s total...
Wanailalamikia serikali, lakini maswali yakujiuliza ni haya
1. Choo kipo wapi?
2. Watoto wanacheza wapi?
3. Maji wanachota wapi?
4. Umeme?
Poleni sana majirani
Sent using Jamii Forums mobile app
Je Wajua?
KABILA LA WAKURYA
Abakuria (au Wakurya) ni kabila la watu wanaoishi katika wilaya za Rorya, Tarime na Serengeti kwenye mkoa wa Mara, kaskazini mwa Tanzania, na katika wilaya za magharibi na mashariki mwa Mkoa wa Nyanza katika sehemu ya kusini mashariki ya Kenya.
Mnamo mwaka 2005...
Wakuu, mwenye uelewa wa hili neno mama sitta, maana nimekuwa nilikisia kwenye nyimbo nyingi za kibongo... hata wimbo i
Ukiwa mgumu( sio wimbo wa ma-Love) utasikia neno mama sitta.
Au ndio Msemo wa kisasa (fashion), kwann wasiseme mama chausiku, waseme mama sitta tuu.
Msaada wenu, mnitoe ushamba.
Habarini wakuu,
Kungekuwa sub-jukwaa ya Tech, Gadgets and science inayohusika na mambo ya practice ya developer, programming and AI.
Maana kwa sasa imekuwa shida kweli kupata & kuweka madini... yaaani mtu akikwama, akiingia humo atapata madini kama vile stackflow, GitLab nk.
Napenda...
http://nairobiwire.com/2019/04/kenyan-pens-book-on-diamond-platnumz-success-secrets.html
24-year-old Suleiman Ndoro is the brains behind the motivational book titled ‘Success secrets from Diamond Platnumz’. He says he has been following Diamond’s career since 2009.
According to Ndoro...
Ni simu nzuri, inakaa na charge muda mrefu... pia ina bettery kubwa & RAM & Storage....display yake n infinix
Mtu unaweza kununua hizi simu kwa bei ya kawaida na usijute...
1. Galaxy M series(m30, m20, m10)
2 Xiaomi
3 Oppo
Hizi media zenye jina la East Africa kwakweli hatitendei haki watazamaji/ wasikilizaji wake, wataalamu wanasema jina la kitabu linasadifu yaliyomo ndani, lakini kwa hizi media sivyo hivyo.
Ni bora kama IPP MEDAI kama imeshindwa kukidhi haja ya mchi za East africa waachie jina kampuni yenye...
Hivi kuna umuhimu gani wazee kupewa kitambulisho ilhali wenyewe tu wanajitambulisha automatic.... maana hakuna kijana anayeweza kufoji kuwa yeye ni mzee
Habarini wataalam,
Ningependa kufahamu techology gani nzuri sana kwa kutengeneza simple web system kama:-
System ya Saccoss
System ya Phamarcy
Nk
Ipo nzuri kati ya hizi kutumia :-
Laravel
Nodejs
Angularjs
Django
Yii
Au yeyote unaweza kuweka kwa msaada zaidi..
Pia au kupiga code za PHP kavu...
Ongera sana wana wa mkoa wa mara(KIUMENI) kwa hatua hiii, mmekuwa kimya sana atimaye yanaenda kutimia.
Tuna waombea Timu ya BIASHA Kufika mbali hata kupata mafanikia makubwa.
Matokeo ya mechi za leo 26/01/2018
Binafsi nilitegemea kariakoo ndo ingetoa jina la timu biashara lakini wajanja wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.