Hahaha sasa nimeamini kwamba ukweli unauma ,you can't see udikteta wa magufuli unatoka povu kwa kulaumu makaburu,sasa nikuambie kitu labda haujui hawa wazungu wa south au serikali ya south Africa ni wazi washenzi lakini wanajua nini democracy Nina maana south kuna democracy na inafuatwa,angalia...
Tunachotaka raisi awe msomi na msomi ambaye anajua kuongea kingereza co huyu mbumbumbu tulonae hivi sasa nchi inaporomoka coz hajui anzie wapi vp ataenda ulaya kutafuta wawekezaji ataongea naona vp wakati kujieleza hawezi,hata hao wachina wanaongea kingereza na suala LA kwa walifikiria vp...
Pamoja na hayo ila ni aibu kubwa kwa kiongozi mkuu wa nchi kuwa hajui kingereza,kwanza uelewe kingereza ni lugha kubwa ya kwanza duniani whatever u going utakuta watu wanaongea kingereza, sasa leo raisi wenu anakimbia wazungu kwa sababu hajui English hiyo ni aibu baba,shame on you mtoa post
Mtu kutoka Tz kwa sasa ni vigumu sana kuwa asylum seeker ila kitu kimoja vijana mkielewe south Africa wameondoa visa na Tz coz waliona asylum seekers wamekua wengi sana kutoka Tz kwa kwa ss uwe na case kubwa sana ndio wakupe paper ,ila kumbuka siku zote pesa ndio inayongea
Asylum seeker ya south Africa imeandikwa hv kuhusu kufanya kazi( may take employment or study) ss inategemea na maelezo yako ya ukimbizi na nchi uliotoka, pia kwa sasa na bahati yako ikoje
Nimekuskia ila cjakuelewa coz hujafafanua vzr, ila kama mtu atachunguza kwa undani mashairi yako yanaonesha kuna chuki fulani hv kwa watu fulani, kwa hilo nakupa Pole
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.