Nimekuelewa vizuri tu mkuu. Ila nina swali la ziada, Pamoja na kuwa Mzanzibari ni Mtanzania lakini kikatiba haruhusiwi kugombea nyazfa ya kisiasa bara isipokuwa pale atakapothibitishwa bila shaka kuwa makazi yake ya kudumu yapo Bara. Nadhini juzi lilijitokeza hili kuhusu Mr Salum wa CHADEMA kuwa...
Anahoja iliyojificha na kuchanganya watu. TLS kama neno lake la kwanza (Tanganyika) inabeba utanganyika zaidi kuliko utanzania. Hivyo, anachotaka umfafanulie haya:
1. Is the TLS' jurisdiction covers the entire United Republic of Tanzania or it is only for Tanganyika?
2. If the answer falls...
Sisi wote si malaika tunafanya makosa. Ila tofauti ya sisi na wanyama ni kuwa sisi tumepewa akili tunayoweza kuitumia ku reflect kwenye kila tunachofanya katika maisha yetu kuwa ni sahihi au laa. Kama binadamu inabidi sometimes ukae chini peke yako kisha ujiulize kila unalolifanya kama kweli...
Ili uweze kuongoza nyumba wewe unatakiwa uwe na sauti na msimamo zaidi juu ya nyumba. Nyumba yeyote ambayo mwanaume anayumba kamwe haina amani. Wewe na mkeo hata kama mnapendana vipi still hamuwezi kuishi kama malaika bila kugombana so always elewa kuwa kuna kipindi hamtaelewana unachopaswa...
Juu ya yote tumekuwa tukipoteza muda mwingi na wakati mwingine kuutesa moyo wako kumpenda mtu asiye wako ambayo siku moja iwe isiwe utaachana naye tu. Tujiulize mara ngapi kwakupenda nje tumepunguza upendo ndani na mbaya zaidi tumekuwa tukiwaumiza sana masikini wake zetu ambao wamekuwa kwa...
Hakuna kitu kingine ni fedha tu kaka inayoleta Kiburi? Hata katika ngazi ya familia kama mpunga umekutembe lea na hata kama umri wako ni mdogo kikao cha familia lazima kiahirishwe au kicheleweshwe kukusubiri wewe. Nguvu zake zitapungua tu kama atapororomoka kiuchumi na hiyo sio leo wla kesho...
Naweza kukubaliana na huo utafiti. Safari nyingine ni ndefu sana. Imagine unasafiri kati ya Dubai na New York for 14 hrs, unalala unaamka unakunywa unakula unalala unawatch move unafanya mazoezi muda bado hauendi. Unategemea pilot na co-pilot wasisinzie? Mbaya zaidi hata kama unasafiri mara...
Kwa technologia ya sasa hivi si kitu kigumu kabisa ndio maana kama wenyewe walivyokiri kuwa huwa wanasinzia na mbaya zaidi huwa hawajui wamesinzia kwa muda gani lakini wanakuta chombo kipo on track. Kuna kifaa kinaitwa auto-piloting ukitegeshea hicho ngoma ina cruise tu.
Wakenya wanatakiwa waelewe kuwa sula la UMEME ni sula na National Security. Huwezi hand-over kazi hiyo yote to the private company. Ukisoma vile hapo juu wanasema private companies zinasambaza umeme kwa households and small commercial establishments, nothing about rural areas. Given the nature...
Mkapime ukimwi kwanza mara kadhaa kwa interval ya miezi mitatu simamisha penzi hadi uhakikishe afya zenu ni nzuri kama ataomba msamaha kikwelikweli kwakukueleza ukweli what was unfolding all the time from day one of their relationship until death na akaahidi kuachana tena na mambo hayo basi...
Acha ujinga huo, it happens everywhere even KQ is worse. I am a frequent flier of KQ. I have extremely bad experience with your air line. Last week nilisafiri na KQ351 Juba-Nairobi. Toilet zilikuwa zimefungwa kwakuwa ni mbovu, can you imagine the toilets are not functioning for a flight of 1:30...
Nasoma mwili unasisimka. Mwanaume materials hawezi kumfanya hivyo mwanamke wake hata siku moja. Huyo atakuchezea kesho ataenda oa chuma kipya kabisa. Suala la msingi si kuwa either atakuoa au la, bali nini madgara ya hiyo kitu. Mwisho wa siku utaishia kuvaa pampasi na utakuwa ukivuja huko chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.