Kwa mfano mkataba umebez upande mmoja yaani Mwajiriwa ndie anaetakiwa kulipa endapo ataamua kuacha kazi na mwajiri hakuna sehemu yoyote ambayo imeandikwa. Mwajiriwa hakuna haki yoyote atakayo lipwa na mkataba haujaonyesha hivyo hebu weka sawa hapo Mwajiriwa haki yake anaipataje?
Hivi wewe ni Mtanzania wa nchi gani? Naanza kuingiwa na wasiwasi. Sio nyie tunao watafuta mnao tuharibia Tanzania yetu?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Acha ujinga Utopolo kiingilio sh ngapi? Na Yalivyo hayana Akili wenye nazo 2 tu. Lazima ukanunue jezi "penchoti"
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.