Sasa hapo sijaelewa, lengo kuu la chama chochote cha Siasa ni kushika dola sasa kwa Tanzania chama cha upinzani kitashikaje dola bila kuiangusha serikali. Mtazamo wangu hakuna chama cha siasa kisichotetea wananchi! Shida ni kwa kiwango gani kinafanya mpaka kupewa dola?:angry:
:flypig:Maelezo na Conclusion yako vinaonesha WEWE peke yako huna msimamo kifikra, au huelewi maana ya fikra! Nadhani CDM wasimamie msimamo wao na CCM isimamie yake harafu wananchi watatumia fikra yakinifu kupambanua nani anasema ukweli!
Uelewa wako ni finyu kidogo kama aliyeomba mwongozo, safari akatishe Mukya, mwongozo umwombee Mbowe! Au unadhani kwa kumtaja Mbowe utaonekana unaongea point? Au Mukya si timamu? Nadhani hoja ya msingi jadili matumizi mabovu ya pesa za wananchi na si kuropoka as if ni issue inahusu chama kizima...
Ukisema CHADEMA hakikustahili kuwa chama cha Siasa unaonekana kabisa hujitambui na hujui siasa za kweli za nchi hii! Wanaojua maana ya siasa na wenye akili timamu wanajua CHADEMA kwa sasa ndo chama pekee kinachoonesha uhai kuliko chama chochote! We hauna tofauti na wale waliokataa KATIBA mpya...
Kauli yako kaka(Dr. Kitila na Zitto Kabwe) ni ya kishujaa, na yenye kujali maslahi ya mstakabli wa demokrasia Watanzania waitakayo. Ni kauli ambayo inahitaji utekerezaji wa VITENDO ili kutenga kiukweli mchele na chuya. Naiona Tanzania niitakayo usoni pako, lakini ina ukungu mbele ya baadhi...
Mi sijawahi kuona akiongea cha maana zaidi ya propaganda za kitoto. Huu si muda wa kufanya propaganda za kitoto, fanya siasa ukishindwa nenda kauze ugoro! hata wanaenda kumhoji si huwa wanajua nini atajibu?
nashukuru mmenirahisishia kunakiri sifa za wangu, mi KINYUME ya hizo hpo juu, hivi mnafikiri wenye hizo tabia hawahitaji kupendwa, hivi nyi mna tabia nzuri, acheni hzo bwana binadamu wote ni sawa, achen ubinafsi, acheni Mungu mwenyewe aamue nyi wa wap?
Mi naamini watanzania wana dini zao ambazo zipo akilini mwao! Wazungu waliposema ni za kishenzi, tumedharau dini zetu asilia na kupenda umagharibi na umashariki! Alyeleta thread hii ana akili, tupate mawazo yakinifu ya wana Jf!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.