Ni kwamba baada ya CCM kugaragazwa vibaya sana kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa/vijiji Rorya hasa kwenye mamlaka ya mji mdogo Shirati wenye mitaa/vitongoji 9 ambapo CHADEMA walibeba mitaa 7 na CCM kuambulia mitaa 2 ndipo CCM Rorya walitangaza bifu na walimu Rorya kuwa ndo wamechangia ushindi...
Hongera Kamanda Mwl. Jared Mwanga kwa ushindi wa kishindo katika nafasi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Walimu (CWT) wilaya ya Rorya!
Hii ni dalili tosha kabisa kwamba ukombozi unafika Rorya siku si nyingi. Na huu ni ujumbe na salaam kwa magamba wote wa Rorya.
Salaam zimfikie Lakairo na Genge lake...
Point of correction:
Jimbo la Bukene liko kwenye Mkoa wa Tabora wilaya ya Nzega. Vinginevyo labda ubadilishe heading!
Otherwise hongera sana Makamanda wa CHADEMA.
Baada ya watu wa Bunda kutangaziwa kuwa leo waziri mkuu Mh. Mizengo P. Pinda anakuja kuzungumza nao juu ya namna ya kutatua kero ya maji mjini Bunda, watu walikusanyika kwa wingi ili angalau wapate neema ya maji hasa kwa kipindi hiki kuelekea uchaguzi. Alipoanza kuhutubia na kuanza kwa kumsifia...
Kitendo cha kuwa mwanaccm tayari unakuwa na mapungufu mengi tu kichwani. Yaani hapo bila aibu na wewe unaenda kupewa buku saba kwamba umefanya kazi ya uenezi wa chama! Haaaaaaa, kazi ipo Lumumba.
Zinahitajika juhudi za ziada kwenye mkoa wa Dodoma kwa ujumla na majimbo yake yote kama tulivyofanya kwenye mkoa wa Tabora na sasa tuna asilimia zaidi ya 50 kushinda majimbo mengi Tabora mwaka huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.