Lucas hayuko vizuri, labda kwa sababu anacheza nafasi ambayo si yake. Mashambulizi yanaanzia I pande wake. Haya majamaa hayatabiriki hadi dakika 90 ndo nitapumua. Let's hope
Ila tatizo la mechi ya Leo ni kwamba tutakuwa na pressure sana, kama ilivyotokea kwa Sunderland, inabidi tucheze defensive game ndo tutaweza wafunga spurs. Ili litawezekana kwa kutumia midfielders watano ( Gerard, Lucas, Allen,Henderson na rahem) alafu pale nyuma akae sakho, strkel na Johnson...
Mm kwa sasa nakaribisha wale mashabiki wanaotaka kujiunga Liverpool fomu zipo anayehitaji ani-pim. Kwa sasa tukishakaa pale juu nafikiri mpaka ubingwa. Kwakweli hadi raha go go go go liver YNWA
You guys, ilishakuwa proved kwamba timu yoyote inayoongoza Wakati wa kipindi cha Christmas ndo inakuwa bingwa. Mark my words Liverpool Lazima ichukue kombe mwaka huu 2013/14.
Allen aonekani, inabidi awe replaced na Lucas, alafu stering ni mzuri pembeni pale Kati naona kachemka so inabidi awe replaced na coutinho. Kwa kufanya hivo Gerard atakuwa na mwanya sawia wa kutoa pasi . Otherwise hayo mabadiriko yakifanyika tutashinda hii game.
Ila Lucas nimuhimu angeanza badala ya Allen ukizingatia kwamba Allen anacheza vizuri sana akiingia kama sub, alafu instead of agger angecheza sakho maana wanapare vyema na sktrel, any way acha tuone mawazo ya mwalimu, YNWA, best lucky
Inasikitisha sana, ewe mwenyezi mungu warehemu watu wako. Maana hadi sasa hv kama hakuna habari zozote za kuhaminika basi wenzetu watakuwa wametangulia mbele ya haki.
Mm Nasema tukiendelea hv ubingwa ni wetu, alafu beki yetu kwa mechi zinazofuata nafikiri itafanya vizuri maana jembe sakho na Lucas watakuwa wamerudi. YNWA liver to life
Mwaka huu ligi ni ngumu sana, ubingwa utaamuliwa na mechi ambazo watu hawatarajii kabisa, ona Liverpool imekaa juu ya arsenal na wako vizuri sana kwa sasa. Acha tuone kufika mwisho itakuwaje ila timu zote nne yaani arsenal, man city, Chelsea na Liverpool any one among of then can be 2013/14...
Kapime inawezekana una bacteria waitwao Helicobacter pylori, bacteria hawa wana uwezo wa kukaa kwenye acidic condition iliyoko tumboni. Na wanasababisha hiyo hari uliyonayo. Wanavyozidi kukaa wanaweza sababisha cancer ya tumbo and clinic ulcers
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.