Kwa ufupi zile nchi ambazo upatikanaji wa Visa zake ni ngumu sana wa nafuatilia saana. US na UK zikiongoza. Na ikidhihirika umepresent fake documents unapigwa ban. Usije sema hujaonywa.
Kingine a nacho haribu amani ya familia ni kusema Mama yako au ndugu yako ndiye mchawi wako. Na mbaya zaidi anasema lazima na yeye auwawe (yaani yeye Dominic, ndiye atafanya maombi ya kumuua). Kweli serikali amkeni mapema zuia utapeli wa wazi wa huyu Dominic.
Kuminya, Kukandamiza tumbo kwa nguvu ili kilichopo kitoke. Hii ni pamoja na kuvuta na kukunja viuongo vya mwili ili vilegee. Ndio kukamua niliko maanisha. Madame
Siyo taratibu mkuu. Kubali tu kuwa walikosea au walivurunda simple as that. Tumewaona Marais wote 5 waliopita wakiingia Kanisani na kutoa sadaka bila kuona tendo alilolifanya huyo askari.
Pamoja na mwendo kasi wa madereva wa mabasi na kutokuwa waangalifu, pia kuna swala la warning signs hasa magari yanapo haribika barabarani. Utakuta hawawezi hizo warning signs za maana, utakuta wanaweka majani/manyasi umbali mfupi sana toka gari lililo haribika. Ni muda muafaka malori na mabasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.